Dah Mei 12 hadi 15...

Dah Mei 12 hadi 15...

Nililiona tangazo nikajua ni sikukuu ya wajinga,
kumbe ni kweli, lol.

Nitarudia kazi yangu ya kusoma Biblia.
 
I see unahamishia mashambuli fesi buku




JF haina tofauti na miziki ya mipasho,ikifungwa moja kwa moja hakuna hasara,mbona ze utamu ilifungwa na watu wakasahau bwana,mods wa JF jifunze kupost vitu vya maana msijikite kwenye siasa uchwala na mambo ya lulu na kanumba ambayo hayana msaada kwa wachangiaji
 
JF haina tofauti na miziki ya mipasho,ikifungwa moja kwa moja hakuna hasara,mbona ze utamu ilifungwa na watu wakasahau bwana,mods wa JF jifunze kupost vitu vya maana msijikite kwenye siasa uchwala na mambo ya lulu na kanumba ambayo hayana msaada kwa wachangiaji

Acha ujinga we pimbi!!
 
Thanks, maana tangazo lenyewe limekaa kiaina, mm kweli nisingeliona. Thanks we will miss JF for those three/four days. Hope itarudi bomba zaidi. Best of luck.
 
andika hii...Perpetua Barabojiq Qumnas....niadd nitakuaccept kule fb....mwambie na ODM....

hahahaha! sasa mrembo pepe tua hebu ngoja kwanza....aiseee! pepe bana?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom