Nimeona tangazo lao hapo juu,lakini uzoefu unaonesha kuwa walio wengi huwa hawasomi matangazo hayo labda kupitia njia hii.
tangazo lenyewe ni hili hapa
TAARIFA MUHIMU: Kuanzia Mei 12 hadi Mei 15 tutakuwa na marekebisho makubwa kwenye tovuti hii. Endapo hutotupata, fuatilia yanayojiri kupitia FikraPevu au JamiiForums on Facebook
Mods mkiona nimekosea basi ondoa hii thread
Namba yangu ya simu si unayo? Hebu nipe akaunti yako ya facebook. Siwezi kuishi bila kuchat na wewe asee....umefanya vema mkuu....mimi mwenyewe sikuona....dah....sasa itakuwaje.....
Namba yangu ya simu si unayo? Hebu nipe akaunti yako ya facebook. Siwezi kuishi bila kuchat na wewe asee....
Hivi wewe ndio Invisible? Wapo wameandika JF inafungwa kupisha matengenezo?
Mkuu ritz.....mbona amejieleza vizuri....hebu papasa macho vizuri utaona wapi wameandika......alivyofanya ni vyema coz sio wote tunaweza kuona tangazo hilo......
Mkisikia katika kipindi hicho POWER yuko ICU msidhani ni tetesi.Siku 3 mfululizo wengine tutaumwa kabisa
JF siku hizi imekua kama TANESCO on/off
Manundu mko wengi, mnawahi wapi? Chooni muwahi na JF muwahi khaaaaaa!
Dada ya Preta mbona hiyo habari ipo juu tu ukifungua JF wala hawajasema kufungwa walichosema wanafanya marekebisho makubwa huenda kama ukipata JF wametoa maelezo unaweza kuwapata kwenye fikrapevu au JamiiForums on Facebook.
Hakuna sehemu wameandika kufungwa.