Dah Mei 12 hadi 15...

bora mkate tu watu wapumzike..na wa kunyonyesha akanyonyeshe na wengine wafanye shuhuli za maendeleo huko maofsini kwao sio kila saa mpo humu :happy:
 
Unaweza kunishakikishia bila shaka yoyote kuwa hakuna hujuma kabisa? Sawa, inawezakana lakini.....
 
Do, things will be completely bad, nimejariribu kuingia hoko fikra pevu....hakuna lolote la maana zaidi ya hadithi ndefu ambazo hazina mashiko, unasoma hadi usingizi unakukuta...FB nako nina allergy, huko ni mapenzi tu...hata hakuna radha ya JF......wengine tutakonda kabisa.....anyway...!!!!!
 
Eeehh..mwenyezi mungu hebu epushia hizi siku zisiwe na mageuzi/matukio kwa tanzania kwani nitakosa habari kwa ufasaha, magazeti+TV station+radio wanachakachua...nikiomba yote haya na kuamini........
 
Aisee papaa hayo ni marekebisho gani yachukue muda mrefu kiasi hicho?. Jamani hapa kwa upande wangu sitanii JamiiForums ndo partner wangu wakati wote, iwe kwa ofis, home au pengine pale niwapo, sa unaponiambia nitaikosa JamiiForums kwa siku nne, yaan ni mawazo makubwa mno, bora wife aninyime kinyoanyoa kwa miezi minne kuliko kukosa kwa siku nne hii kitu naitwa sijui JamiiForums. Jamani wazee acheni mchezo bana, mie nipo porini huku mshikaji pekee ni JamiiForums anae nipa news zaidi ya hao sijui CNN au na hiyo TBC yenu. Punguzeni hizo siku angalau ziwe mbili tu yaan tar 12 na 13. Yaan hapa na mawazo kinyama acheni kabisa hizo bwana invisible, mnavyonifanyia siyo kabisa na ni uonevu wa hadharani wajameni.

Be blessed you all.
 
I hope kwa muda wa siku 3, wengi watahamia FB - na itakuwa fursa nzuri ya kuweza kujuana.
Ningependa kuona profile za watu kama Rejao, Tume ya Katiba na the likes. Hawa itakuwa rahisi saana kuwajua kutokana na aina yao ya uchangiaji wa Hoja zilitazokuwepo :blabla:
 
Hili ni pigo kwa wale Mods waonevu ambao wamezoea kuwapiga ban Members humu kwa uonevu.
 
Aisee papaa hayo ni marekebisho gani yachukue muda mrefu kiasi hicho?. Jamani hapa kwa upande wangu sitanii JamiiForums ndo partner wangu wakati wote, iwe kwa ofis, home au pengine pale niwapo, sa unaponiambia nitaikosa JamiiForums kwa siku nne, yaan ni mawazo makubwa mno, bora wife aninyime kinyoanyoa kwa miezi minne kuliko kukosa kwa siku nne hii kitu naitwa sijui JamiiForums. Jamani wazee acheni mchezo bana, mie nipo porini huku mshikaji pekee ni JamiiForums anae nipa news zaidi ya hao sijui CNN au na hiyo TBC yenu. Punguzeni hizo siku angalau ziwe mbili tu yaan tar 12 na 13. Yaan hapa na mawazo kinyama acheni kabisa hizo bwana invisible, mnavyonifanyia siyo kabisa na ni uonevu wa hadharani wajameni.

Be blessed you all.
...mmmh!...mkuu em funguka kidogo,hii "kinyoanyoa" ndo kitu gani?...
 
Walah nyie binadamu wa hapa mnaoitwa mods hamna dogo! Kwa nini mmeilamba post yangu? Why??! Haaahaaaa! Kamata mwizi meeen!! Manyuu hoyeeeee!
 
Hizo siku nne naona kama miaka minne vile!
Invisible nawatakia matengenezo mema, dhamiri yangu hainitumi kubrowse kwenye hizo link zingine
 
Back
Top Bottom