Katibu mtendaji
JF-Expert Member
- Feb 14, 2015
- 700
- 244
Watoto wa mafisadi kazini mako kiboko yenu...Hivi nyie mnadhani makongoro mzimae,hivi unaweza piga gongo akili ikawa timamu kweli,huyu muda wote yuko vyombo sasa unategemea nini kutoka mdomoni kwake,na mtu wa aina hiyo huwezi mshitaki kisheria yuko insane na hana kosa.