Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 123,218
- 98,176
huyu makongoro gongo zimemharibu.
Huyo ni mwanachama wa kudumu wa tbl
huyu makongoro gongo zimemharibu.
Watoto wa mafisadi kazini mako kiboko yenu...
Mafisadi mmeshaanza kujipa vyeo vya Umafia. Kazi mnayo. Hatishiki mtu hii sio nchi kwa ajili ya Mafisadi tafuteni nchi yenu.
Huyo ni mwanachama wa kudumu wa tbl
The others. .......All these contestants/ aspirants are manipulators. ..
Wanaona matatizo na udhaifu wa CCM kwa kuwa wanataka kugombea Urais.
Mara ngapi wamebaki kimya kwa issue zilizokuwa na maslai kwa wananchi? !
Mambo yoote ni ukawa tu
Hakuna chombo cha kurusha utumbo hewani kama huo
nilisikia mtoto wa nyoka ni nyoka mbona tabia sio za baba yake?
Hatutak rais mnywa gongo kadanganywa na midimu ili amchafue lowasa eti apewe uongozi ajui mafia ndio wanaosmamia show atajutia matusi yake chumban hamjui Jk amuulize nape wa ccj na mradi wa kuvua gamba aliishia wapi
bujibuji dada yangu nilipenda nielewe nini umeandika(abaitakia)ndio nini.Lowassa, hivi abaitakia nini ikulu?.... watanzania tunataka kuleta laana nchi hii fisadi aende ikulu!!
Kwani El hanywi??
Nimemsikiliza Makongoro nimempenda sana hakopeshi anakupa kitu live, viongozi kama hawa ndani ya ccm ni wachache sana, makongoro Nyerere ni mwanaume mpeni chama anatosha sana!!
The others. .......All these contestants/ aspirants are manipulators. ..
Wanaona matatizo na udhaifu wa CCM kwa kuwa wanataka kugombea Urais.
Mara ngapi wamebaki kimya kwa issue zilizokuwa na maslai kwa wananchi? !
Mkuu kuendelea kumpigia debe makongoro ili apate urais wa tanzania ni kusafisha njia kwa kila kiongozi kuhakikisha mwanawe anakuwa rais,ikumbukwe kuwa Tanzania siyo taifa la kifalmeKunywa gongo ni personal issue zinatuhusu nini sisi kama taifa?? Tunahitaji utendaji usio na shaka. Kuna Marais wanavuta mpaka bangi lakini maendeleo ya nchi zao yanakua kila uchao.
Na ukumbuke kila mtu ana kilevi chake.. Bora huyu wa gongo kuliko yule mlevi wa pesa za walalahoi..!