Dah Makongoro hakopeshi!

Dah Makongoro hakopeshi!

President wa wanywa komoni
Nimependa avatar yako mtu akiitizama vizuri ina resemble sura ya idiot-ism, hivyo sina shaka you were right with your favorite resemble
 
Nimeipenda video iliyotolewa na team lowassa : ikulu sio ya baba yako
 
Angekuwa na uwezo huo angekaa maisha yake yote nyumbani hata kazi hakuwahi kupewa hata ya kupendelewa..Makongoro ni kopo la chooni na baba yake alilijua hilo ndio maana maisha yake yote kakaa nyumbani kumwagilia bustani na kunywa gongo
Chanzo chako cha habari ni kipi mkuu?
 
Umeona eeh!! yaani combinationa ya Makongoro na Magufuli sipati picha kabisa mkuu, nchi itarudi enzi za SokoineNamuomba Mungu usiku na mchana hawa watu watuongoze japo kwa miaka 5 tu
Well kama anaongea hayo, mara mia aendelee JK. Unajua kwenye kapu la wabovu wote ni bora kuwa na mbovu kidogo, kuwa na mbovu zaidi ni hasara. Anaposema Lowassa muongo atwambie nani mkweli....ni vizuri angesema atafanya nini, hawezi kuchaguliwa kwa kumshambulia Lowassa.
 
Well kama anaongea hayo, mara mia aendelee JK. Unajua kwenye kapu la wabovu wote ni bora kuwa na mbovu kidogo, kuwa na mbovu zaidi ni hasara. Anaposema Lowassa muongo atwambie nani mkweli....ni vizuri angesema atafanya nini, hawezi kuchaguliwa kwa kumshambulia Lowassa.

Mkuu Makongoro anajua utaratibu, kwa sasa hawezi kusema atafanyanini kwani ilani ya uchaguzi ya chama haijatoka bado, hao wanaosema watafanya hichi na kile ni danganya toto tu kwani wanajua watz wengi hawajui utaratibu
 
Naye huyu mlevi wa gongo ni wa kumjadili?

Gongo ni alcohol na hata wine zina alcohol tena zingine kubwa kuliko zile za kwenye gongo sema ni katika majina tofauti tofauti na zote zinanywewa zingine mpaka kwenye maeneo matakatifu ..sooo ni matumizi ya lugha.
 
Mkuu Makongoro anajua utaratibu, kwa sasa hawezi kusema atafanyanini kwani ilani ya uchaguzi ya chama haijatoka bado, hao wanaosema watafanya hichi na kile ni danganya toto tu kwani wanajua watz wengi hawajui utaratibu

Kampeni (ndani ya chama na kwa ajili ya chama) inatakiwa kumtambulisha mgombea kwa wapigakura, na ajioneshe atafanya nini. Kupambana na ufisadi peke yake, hasa kupambana na fisadi mmoja haiwezi kuwa sababu ya kumchagua au yeye kufaa kuliko wengine. I do not see the guy going anywehere, hata kati ya wajumbe wa CCM sioni kama atavuka popote.
 
Tutakutana tarh 12 kujua kama ni nuru ama giza limeshinda
 
Yaani watu kwa kujifanya mnajua kanuni inapokuja kwa Lowassa kwa wengine hamzijui, kwa mujibu wa kanuni za uteuzi za wanachama wa CCM kwenda kwenye vyombo vya dola huu ni ushahidi tosha wa kumuengua Makongoro na wengine wengi, kanuni hairuhusu hata kidogo kumsema mgombea mwenzio kwa mabaya maana hujui nani atayeteuliwa hivyo utakipa chama kazi ya ziada kumsafisha, tunategemea watatenda haki na kanuni zizingatiwe.
 
Back
Top Bottom