Dah Makongoro hakopeshi!

Dah Makongoro hakopeshi!

mkuu nimesikiliza naenda kulala sina mbavu,yaaaani huyu jamaa ni kiboko wa majambazi

Hatutak rais mnywa gongo kadanganywa na midimu ili amchafue lowasa eti apewe uongozi ajui mafia ndio wanaosmamia show atajutia matusi yake chumban hamjui Jk amuulize nape wa ccj na mradi wa kuvua gamba aliishia wapi
 
Jk kashawapa kna nape..makonda na kna membe madaraka na makongoro ubunge wa east afrca ndo anawaaga hawataamini kwa heshima ya Jk rizwan atapewa unaibu wazri na lowasa wengne bye bye kijijini
 
Hawakukutana barabarani..
 

Attachments

  • 1435614768282.jpg
    1435614768282.jpg
    46.8 KB · Views: 5,749
mkuu nimesikiliza naenda kulala sina mbavu,yaaaani huyu jamaa ni kiboko wa majambazi

Umeona eeh!! yaani combinationa ya Makongoro na Magufuli sipati picha kabisa mkuu, nchi itarudi enzi za Sokoine

Namuomba Mungu usiku na mchana hawa watu watuongoze japo kwa miaka 5 tu
 
Hatutak rais mnywa gongo kadanganywa na midimu ili amchafue lowasa eti apewe uongozi ajui mafia ndio wanaosmamia show atajutia matusi yake chumban hamjui Jk amuulize nape wa ccj na mradi wa kuvua gamba aliishia wapi
binadamu anachafuliwaje...ama anajichafua...?Leo ukweli umekuwa uchafu wa kuchafuliwa...ebooo...
 
Ukweli unatabia moja kali sana nayo ukweli huwa aujifichi....full kujiweka wazi daima..na ukileta za Mara ubabaishaji hakuna...tena ukikosea ukaingia kwenye kumi na nane zake anakufanya mabaya kukemea kuliko ilivyokuwa mwanzo.mambo machafu yana mwisho.Watu wazima kudanganyana miaka kadhaa ufika sehemu watu wakachoka...
 
Hizi ni stories tu wajameni. Mpango mzima ni #Mizengo_Pinda hapa.

Tupinge!


Hatutak rais mnywa gongo kadanganywa na midimu ili amchafue lowasa eti apewe uongozi ajui mafia ndio wanaosmamia show atajutia matusi yake chumban hamjui Jk amuulize nape wa ccj na mradi wa kuvua gamba aliishia wapi

Jk kashawapa kna nape..makonda na kna membe madaraka na makongoro ubunge wa east afrca ndo anawaaga hawataamini kwa heshima ya Jk rizwan atapewa unaibu wazri na lowasa wengne bye bye kijijini

Hawakukutana barabarani..
 
Hahahahaa huyu nilishasema kuwa hana presidential cachet.

Ni loose cannon flani hivi...

Nitashangaa sana kama CCM wakimteua.
 
Now he is loosing the focus , nadhani atakua alishaipoteza kitambo ni vile tu hapati media coverage ndiyo maana sikugundua, by the way, kwa aina hiyo ya speeches ni media gani itakayomrusha.
Nimeshamuondoa kwenye list yangu ya tano bora.
 
Atafute wadhamini, sio kutukana wenzake, mbona hawajiamini
 
kweli mmevurugwa, yaani badala ya yeye kutuambia akiingia ikulu atatufanyia nini na kwanjia gani. nyie mnamuona wamaana kukaa akitaja majina ya watu....hovyo kabisa

Mkuu huyu ni kiboko ndo maana timu fisadi matumbo joto, haogopi mtu!!

Angekuwa anapewa coverage na hizi media za mafisadi, akyanani nakwambia sasa hivi tungekuwa tunamsadia kujadili baraza la mawaziri
 
Back
Top Bottom