Dah Makongoro hakopeshi!

Dah Makongoro hakopeshi!

Mkuu kuendelea kumpigia debe makongoro ili apate urais wa tanzania ni kusafisha njia kwa kila kiongozi kuhakikisha mwanawe anakuwa rais,ikumbukwe kuwa Tanzania siyo taifa la kifalme

mkuu ni kweli yaleyale ya kenya....
 
Hivi nyie mnadhani makongoro mzimae,hivi unaweza piga gongo akili ikawa timamu kweli,huyu muda wote yuko vyombo sasa unategemea nini kutoka mdomoni kwake,na mtu wa aina hiyo huwezi mshitaki kisheria yuko insane na hana kosa.
Amesema, Lowassa aliita watu akaahidi ku address skandali la Richmond, hakuongelea. Ni mwongo. Hapo gongo na insanity ya Makongoro ni nini, amekosea wapi????

Hassan Mwinyi alifanya maamuzi magumu kujiuzulu wakati sio yeye aliyeshutumiwa kuua raia.

Makongoro kasema, utasemaje umefanya maamuzi magumu wakati suala linakuhusu wewe, wewe ndio ulishutumiwa na ripoti ya Kamati Teule. Uamuzi mgumu ni upi? Pombe na ukichaa wa Makongoro hapo ni upi?

Kwa miaka karibu minane Lowassa ameishi under a dense cloud, kimya ndani ya Bunge, Watanzania kwa mamilioni wakiamini Lowassa aliiba ndio maana akajiuzulu. Makongoro kasema "tunajua umetuchapa" na Watanzania hawana visasi.

Hapo gongo na akili zisizo timamu za Makongoro ni zipi, amekosea wapi hapo???
 
kwa nini akina Hossea wasichukue watu kama hawa wasaidie ushahidi ili ukweli ujulikane??
 
Umeona eeh!! yaani combinationa ya Makongoro na Magufuli sipati picha kabisa mkuu, nchi itarudi enzi za Sokoine

Namuomba Mungu usiku na mchana hawa watu watuongoze japo kwa miaka 5 tu
Magufuli nae ndo walewale.
 
Hahahahaa huyu nilishasema kuwa hana presidential cachet.

Ni loose cannon flani hivi...

Nitashangaa sana kama CCM wakimteua.

Ni haki yako kusema lakini na sisi pia ni haki yetu kuchagua tunayemtaka kwa vigezo vyetu sisi wenyewe
 
bro mako ni kiongoz asyetafuna maneno hamna mwanaccm anaweza sema iv

Mie nawashauri tu CCM, kwa jinsi ambavyo Lowassa amejijenga huko mitaani kwa kumwaga pesa, anajua anatoswa mapema tu. Hawa watu waliokuwa wanamdhamini wengi walihongwa ila tuchukulie nusu yao lazima ataondoka nao na wanaweza wakarudi Ukawa kwa hasira ili kuikomoa CCM, kama ni hivyo ukiwachukua nusu hawa na ukawachukua wale wote walio Ukawa basi hizi kura zinatosha kuivusha Ukawa. Sasa ili CCM nao kuweza kuwarudisha wananchi na kuwagawa nusu kwa nusu na wale wa Ukawa hapa ni lazima CCM apitishwe mtu anayeuzika hata kabla hajauzwa, ni lazima apelekwe mtu ambaye atasaidia kuokoa hizi kura na hatimaye kazi yao iwe rahisi, Makongoro ndiye mtu pekee ambaye anaweza kurudisha watu hawa kwa CCM, watu wamekosa imani na CCM na huo ndo ukweli, ila hotuba na maongezi ya Makongoro yanawagusa watz wengi sana wanapomsikia anaongea. Wanapata imani hata kama haipo lakini eengi wanamwaona ndo pekee aliyesalia na anayeweza kuaminiwa kwa sasa. Kwahiyo CCM kazi inabaki kwenu na kwasasa uwanja bado ni wenu na muda mnao.
 
Mkuu kuendelea kumpigia debe makongoro ili apate urais wa tanzania ni kusafisha njia kwa kila kiongozi kuhakikisha mwanawe anakuwa rais,ikumbukwe kuwa Tanzania siyo taifa la kifalme

Mkuu sina maana kwamba kila mtoto wa kiongozi anafaa kua kiongozi. Nafikiri wapo watoto wa viongozi ambao hutamani hata wapate udiwani kutokana na utendaji wao mbovu na wenye shaka.
 
Kazi ipo...Lowasa asipopitishwa waweza kufa kwa kihoro bure!!!
Uenyekiti wa Mkoa tunajua wote waliokuwa nyuma ya pazia.
Jiandae kisaikolojia kijana.

Mkuu kama wewe ni mwana ccm husiombee lowasa kukatwa maana huo ndio itakuwa mwisho wa ccm
 
Mie nawashauri tu CCM, kwa jinsi ambavyo Lowassa amejijenga huko mitaani kwa kumwaga pesa, anajua anatoswa mapema tu. Hawa watu waliokuwa wanamdhamini wengi walihongwa ila tuchukulie nusu yao lazima ataondoka nao na wanaweza wakarudi Ukawa kwa hasira ili kuikomoa CCM, kama ni hivyo ukiwachukua nusu hawa na ukawachukua wale wote walio Ukawa basi hizi kura zinatosha kuivusha Ukawa. Sasa ili CCM nao kuweza kuwarudisha wananchi na kuwagawa nusu kwa nusu na wale wa Ukawa hapa ni lazima CCM apitishwe mtu anayeuzika hata kabla hajauzwa, ni lazima apelekwe mtu ambaye atasaidia kuokoa hizi kura na hatimaye kazi yao iwe rahisi, Makongoro ndiye mtu pekee ambaye anaweza kurudisha watu hawa kwa CCM, watu wamekosa imani na CCM na huo ndo ukweli, ila hotuba na maongezi ya Makongoro yanawagusa watz wengi sana wanapomsikia anaongea. Wanapata imani hata kama haipo lakini eengi wanamwaona ndo pekee aliyesalia na anayeweza kuaminiwa kwa sasa. Kwahiyo CCM kazi inabaki kwenu na kwasasa uwanja bado ni wenu na muda mnao.
Mkuu mawazo yako yapo sawa na ni ya kujenga,ila kwa hali iliyopo kwa sasa ndani ya ccm ni hatari sana kwani rushwa inafanyakazi yake,busara imeshikwa shingoni.
 
attachment.php

Albamu za Bwashee ziko bize sana mwaka huu.., kweli Urahisi Mtamu.
 
Back
Top Bottom