Jay One
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 18,535
- 20,729
Asante Mungu,...umemleta Lowassa ktk wakati Muafaka kabisa..kutukomboa ktk dhiki na taabu za hivi sasa...ili watanzania wapate kuona nchi yao ilivyo tajiri na mali zote plus utajiri mkubwaaa wa gas...ziwafaidishe watanzania wote..!!
Rais wetu shupavu anakuja, Lowassa...!!! Allaah akbar...!!!
Rais wetu shupavu anakuja, Lowassa...!!! Allaah akbar...!!!