Senorita23
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 390
- 489
Mbona watu mnakuwa wagumu kuachika we umishaambiwa tena kwa kutumia smu yake sa n nn unataka kwa mfano
Yaani[emoji3]So I was take easy
AsanteSijambo shikamoo
Hehe umemchanaSasa hapo ushauriwe nn mkuu,mbona jibu lipo wazi kabisa kuwa huyo binti hakutaki..
Kweli huyo demu hajaolewa, kama angekuwa kaolewa nduguze wangekuwa wanajua hasa mama!Nilichogundua kwenye huu uzi, binti hajaolewa..
Binti anakupenda ila HUNA HELA na kampata jamaa mwenye hela na kuahidi kumuoa na yupo nae kwa sasa au laa...
Niliwai kuambiwa na binti mmoja "pokea hii simu afu mwambie mimi na mmeo, acha kumfatilia mke wangu"
mkuu ukisubiri embe liive, wengine wanalila kwa chumvi
Tafuta pesa ndugu ukabiliane na dhahma za namna hii