Dah! Kwa hili nimeumia sana

Dah! Kwa hili nimeumia sana

Kaka simama katika msemo wako "I was to take easy" maisha hayataki stress mpotezee
 
Mpotezee kwa sasa jikaze kisabuni. Next time atakutafuta..huwa inatokea na mwisho huwa wanarudi wenyewe believe me ipo ivo.
 
Kajifunze kiingereza mkuu i was take easy ndo nini? Kama vipi muombe namba ex wa mchizi mmoja hivi juzi kati aliachwa na mpenzi wake kwa kiingereza ilikua hatari sana
 
Kijana we endelea na maisha yako. Hakuna penzi. Mtu anayeondoka bila kukuaga na hana shighuli yeyote ya kumuingizia kipato anatakaje nauli ya kurudi kutoka kwako?!! Hata hilo pia unaomba ushauri?!! Umeshaonyw kuwa uachane na mke wa mtu. We bado tu unang'ang'ania, cha kufia ni nini?!!
Mwenzako anakuchukulia wewe kama spea tairi. Sehemu nyingine mishe zikibuma ndo anarudi kwako kwa kuwa anajua kuwa hujitambui. Jiongoze Bro.
 
Inavyoonekana mwenzake mwenye kisu kikali ndio anakula nyama. Kuwa mpole ujipange tena
 
I never beg for PUSSY like KEITH SWEAT...

Is BIG L slow?...

Hell no...

BITCHES get fucked on the ROOF when I ain't got no Hotel DOUGH...
 
Siku zote binadamu huwa ana majibu yote ya matatizo ya wengine. Yakimkuta yeye hukosa majibu, mimi sina ushauri katika hilo ila pima shauri za wengi humu, chache ni za kufanyia kazi.
 
Tumia huo muda wa kumuwaza mwanamke kuwaza lini utatoka kwenye nyumba ya kupanga na kuwa na ya kwako mwenyewe.
 
Sio tu wewe unamatatizo lakini pia wewe ni tatizo...achana na mke wa mtu alafu tatizo lilikuwa pale ulipokuwa ukiombwa hela unasemà huna
 
Back
Top Bottom