NdasheneMbandu
JF-Expert Member
- Jan 2, 2012
- 940
- 308
Loading...... Please wait!
hapa inaonyesha baba hajui kama mwanae alikuwa anatoka na huyo binti.Kijana hajamuambia baba mahusiano yake na nimemwambia atulie!
Mwenye tatizo ni binti, kijana hakuwa anamwelewa tangu mwanzo km anampenda au la, hivyo amepewa jibu kwa vitendo, inaumiza ila hamna namna ni sawa km angechukuliwa na mwanaume mwingine je angefanyaje?.
Amwachie baba maana mpaka kutambulishwa ina maana alikuwa ana-share na babake, hivyo asije akamwambia.
Ila awe makini na huyo dada huenda kuna kitu anakihitaji(mali ) toka kwa babake hivyo yeye ndo awe monitor ili baba asije fanya makosa ya kumwamini sana halafu akawaharibia. Na atakapo gundua yupo kimaslahi zaidi amwambie babake.
Mwenye tatizo ni binti, kijana hakuwa anamwelewa tangu mwanzo km anampenda au la, hivyo amepewa jibu kwa vitendo, inaumiza ila hamna namna ni sawa km angechukuliwa na mwanaume mwingine je angefanyaje?.
Amwachie baba maana mpaka kutambulishwa ina maana alikuwa ana-share na babake, hivyo asije akamwambia.
Ila awe makini na huyo dada huenda kuna kitu anakihitaji(mali ) toka kwa babake hivyo yeye ndo awe monitor ili baba asije fanya makosa ya kumwamini sana halafu akawaharibia. Na atakapo gundua yupo kimaslahi zaidi amwambie babake.
Mkuu,ukute baba alijua na bado akaamua kumfanzia mwanae. Too sad,lakini it goes on to show how women can wreck families. Huyu binti anajua kabisa mzee ni baba wa bf and yet she goes ahead na kuwapa tunda baba na mwana na kutumia lugha za kipuuzi za ' sahau tulivyotiana huko nyuma,natiwa na babako sasa',sorry for the foul language,i mad with anger.hivi bongo movies hizi
unashindwaje kumuuliza baba yako 'umemtoa wapi huyu msichana'?
mimi namjua sana na nashangaa umemleta home
halafu una miaka 27 na una mchumba hata baba yako asimjue?
hii kama filam aisee
sisemi kumtambulisha girlfriend kwa baba,
ila kibongo bongo baba anakuwa anajua wasichana wa mwanae jpo kwa kuwaona tu wamekuja home
...Mhhh! Kweli duniani kuna mambo...Mababa wengine hawastahili kupewa hadhi hiyo ya kuwa Baba.
mii namshauri akubaliane na matokeo na amuheshim kama anavo muheshim baba ake maana anae lala na baba ako ni mama ako na unapaswa kumuheshim. huyo hakuwa wake atafute alie wake huwezi lazimisha mahaba.
mii namshauri akubaliane na matokeo na amuheshim kama anavo muheshim baba ake maana anae lala na baba ako ni mama ako na unapaswa kumuheshim. huyo hakuwa wake atafute alie wake huwezi lazimisha mahaba.
Inawezekana dingi na mtoto walikta wanapiga mechi kwenye uwanja ule ule kwa nyakati tofauti!
Amweleze ukweli Baba yake, maana kama akificha badae itakuwa mbaya zaidi, hasa Baba atakapogundua jambo