Teh!teh!mie simo.[/QUOTE]Mjue Scorpion anawasoma.
Tiwa Savage apate wapi huo mwili?hivi siyo Tiwa Savegi huyu, au nna makengeza?
Marekani hiyo mkuu.Africa halafu
Watu wana mshangaa huyo dada aliyejichia na kubaki mtupu. Kwa nini mtu atuletee hiyo picha ya mdada aliyesaula? Hilo ndio kosa/dhambi. Mwombee sana kwa Mungu asirudie tena hilo kosa/dhambi.Bibie vipi? Sijaona dhambi yoyote katika post ya mleta habari huyu...unaweza kutaja dhambi yake nikijiridhisha nimuombee kwa mungu baba?
Hiyo sala haijafanya kazi.Baada ya sala ilitakiwa uiondoe picha.Baada tu ya kuipost nilianza kupiga sala.,una la zaidi?