Megalodon
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 2,247
- 4,076
Hii ni kumbukumbu, itaishi.
Nadhani Simba SC guvu moja mmeshaona mnakikosi cha aina gani.
mmefika kwenye penalt box za mlandege 45 times ndani ya kumi na nane and still hamna mlichozaa dah , SSC !!
hii ni ishara kuwa hamna safu ya ushambuliaji na hamna striker machachari.
Kumbukeni pia SSC ipo loaded, wachezaji wake wote , ni mtihani mkubwa !
Je ni nini tatizo la SSC?
Mo Dewji na uwekezaji wake ni tatizo ?
Viongozi wa timu ni tatizo ?
Wachezaji ni tatizo ?
Kamati ya Usajili ni tatizo !?
Kama kuna mshabiki mwenzangu wa SSC , aliyemuelewa huyu Sarr aniambie !
Sajili za kufanya promo kwenye social media bila uwezo binafsi,, mmmh Sinba SC ,!!!!
Narudia Tena SSC mmejaza wazee kwenye uongozi mnatakiwa kuwa na young and fresh blood kwenye CEOs na nafasi nyingine.
Sarr mmepigwa, na mtaendelea kupigwa
Nadhan wachezaji wa SSC wanahitaji pschychological treatment ili kudevelop courage na morally ya players kama Dar Young African players.
Mmeibania Singida bure, singida angepita, am sure wangechukua kombe
Congratulations Mla-ndege for the good work , umetupunguzia kelele hapa mjini. Yule Chinga angefumua sana domo lake.
Ahh kumbe familia
Nadhani Simba SC guvu moja mmeshaona mnakikosi cha aina gani.
mmefika kwenye penalt box za mlandege 45 times ndani ya kumi na nane and still hamna mlichozaa dah , SSC !!
hii ni ishara kuwa hamna safu ya ushambuliaji na hamna striker machachari.
Kumbukeni pia SSC ipo loaded, wachezaji wake wote , ni mtihani mkubwa !
Je ni nini tatizo la SSC?
Mo Dewji na uwekezaji wake ni tatizo ?
Viongozi wa timu ni tatizo ?
Wachezaji ni tatizo ?
Kamati ya Usajili ni tatizo !?
Kama kuna mshabiki mwenzangu wa SSC , aliyemuelewa huyu Sarr aniambie !
Sajili za kufanya promo kwenye social media bila uwezo binafsi,, mmmh Sinba SC ,!!!!
Narudia Tena SSC mmejaza wazee kwenye uongozi mnatakiwa kuwa na young and fresh blood kwenye CEOs na nafasi nyingine.
Sarr mmepigwa, na mtaendelea kupigwa
Nadhan wachezaji wa SSC wanahitaji pschychological treatment ili kudevelop courage na morally ya players kama Dar Young African players.
Mmeibania Singida bure, singida angepita, am sure wangechukua kombe
Congratulations Mla-ndege for the good work , umetupunguzia kelele hapa mjini. Yule Chinga angefumua sana domo lake.
Ahh kumbe familia