Dah, aisee Warangi wazuri sana

Dah, aisee Warangi wazuri sana

Niweke nini kijana mbona hutulii, uko unakoishi wachaga hawapo??
Kabila pekee linalopatikana kila pembe ya Tz wewe unakosaje mfano??
Si ndio maana nikasema sijaona mwenye traaaako jmn. Nakutana na Flat Screen tu my dear...! 😛😛
 
Yaaaani kama wasomali si wasomali waarabu si waarabu, juzi nilimkuta mmoja aisee ukimuangalia unaweza ukasema shombe shombe la kiarabu halafu ni Mama ntilie anasonga ugali nikasema aisee, life is not fair kwa kweli.
Warangi weupe unawasitiri hawana uzuri wowote.
Na hiyo rangi kama isingekua wanyaturu kuzaa nao wasingeipata na vipilipili vyao vile vinavyoanzia utosini.
 
Back
Top Bottom