Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 141,435
- 283,718
- Thread starter
- #41
WeeeeUsiwadharau dagaa wamejaa protein zenye faida mwilini. Achana na kasumba za kula pilau ya kuku siku za sikukuu.
WeeeeUsiwadharau dagaa wamejaa protein zenye faida mwilini. Achana na kasumba za kula pilau ya kuku siku za sikukuu.
Dagaa wanaimarisha mifupa.Weeee
Si wangeliwa last week, why today?Dagaa wanaimarisha mifupa.
Tuonyeshe nyama basiHizo ndio ngonjera zako za kila msimu utafikiri Zuzu. Umeajaa uongo ,unafiki, chuki binafsi utafikiri lichawi
Mnafiki Mkubwa wewe. Unafikiri Nyama inakuja hapohapo ulipokunja Magoti yako kupiga Umbeya kutwa nzima.Tuonyeshe nyama basi
Kwi kwi kwi nilijua utakimbia tu, Nyama haipatikani kwa VPNMnafiki Mkubwa wewe. Unafikiri Nyama inakuja hapohapo ulipokunja Magoti yako kupiga Umbeya kutwa nzima.
Mi si machinga lakini nakula ubwabwa kama nimelaaniwa.Ndio wao ugali
Mboga ya kawaida tu hiyo nyie ndo mnaona maajabu.Uchunguzi wetu wa muda mfupi umebaini kwamba pamoja n.a. kwamba kalenda zinaonyesha kuwa Leo ni sikukuu ya Christmass, Lakini familiar nyingi zimeelekeza watoto Wao kuchambua Dagaa karma kitoweo cha Sikukuu
View attachment 3520300
Hali ni mbaya kuliko mnavyodhani lakini viongozi wanaleta kejeli ( Magari namba E yamejazana- Mwigulu)
Sikukuu hii ni karma haipo kutokana n.a. Ugumu wa Maisha, Lakini Je hali hii itavumiliwa hadi lini?
Uje na kulima sasaMi si machinga lakini nakula ubwabwa kama nimelaaniwa.
Hilo limepita mkuu 😀.Uje na kulima sasa
Kwa watu wazima mbona dagaa ni chakula bora kabisa ndugu....Uchunguzi wetu wa muda mfupi umebaini kwamba pamoja n.a. kwamba kalenda zinaonyesha kuwa Leo ni sikukuu ya Christmass, Lakini familiar nyingi zimeelekeza watoto Wao kuchambua Dagaa karma kitoweo cha Sikukuu
View attachment 3520300
Hali ni mbaya kuliko mnavyodhani lakini viongozi wanaleta kejeli ( Magari namba E yamejazana- Mwigulu)
Sikukuu hii ni karma haipo kutokana n.a. Ugumu wa Maisha, Lakini Je hali hii itavumiliwa hadi lini?
Hiki kijembe cha kistaarabu.Hali ngumu hasa kwa nyie nyumbu wahalifu mliotegemea uwepo wa maandamano uchwara ya kihalifu ili mkapore mchele na mafuta kwenye maduka ya watu ndo mkapike pilau, sasa maandamano uchwara ya kinyumbu yamedhibitiwa lazima mle dagaa maana kazi hamfanyi mnawaza kuishi kwa kufanya uhalifu.
Kilo ime panda hadi 10-12k mzee, wale wa kigoma ndio balaaTena dagaa wenyewe ni ghali sana, wanakula wenye bajeti ya kutosha kununua. Kula dagaa siku hizi ni ufahari kilo ni elfu sita hadi saba. Mwendo ni matembere, mchicha, kisamvu, chainizi na harage