Dagaa wanaitwaje kwa kingereza?

Ngugi Aliwaonya wakenya ya kuwa literature ya Kenya haiwezi kuandikwa kwa kizungu.. In the process utapoteza meaningful bits..

Dagaa wanapaswa kuitwa dagaa.. Just because they look like sardines doesn't make them sardines.

Next tutasema Ugali kwa kizungu ni nini? :)

Dagaa ni Dagaa.. Iwe kichina kireno kijapani ni dagaa.

Tujifunze kwa wanigeria .. Fufu.. Egusi..etc
 
Sardines wanapatikana baharini na wanakuwa wakubwa kidogo na wanaweza kuwa wakubwa kama hata sato wasipoliwa na whales na sharks. Hawa wakwetu naona hawakuwekwa kwenye vocabulary ya kidhungu maana labda hawakuwavua. Labda twende google tuone.

Nimeingia google wanawaita Sardines or anchovy lakini kiukweli hakuna jina lolote la kureplace dagaa sababu hawa ni wa maji baridi na hao wengine ni wa maji chumvi. Hii ni sawa na kusema Snapper ndo Tilapia. Uzuri tilapia ana jina sababu waliompa jina walimvua. Nahisi watakuja fanya neno dagaa kuwa official kama safari. Kuna wengine size ya dagaa wanaitwa white bait wanapatikana baharini nao. Hao ndo size ya dagaa.
 
Sardines ni sawa mkuu ingawa anchovy fillets pia ni fillet za dagaa ambazo zuko preserved in salty oil.
 
Back
Top Bottom