Tutor B
JF-Expert Member
- Jun 11, 2011
- 9,025
- 6,614
ahsante sana Mwalimu wanguSara=sala
Kipengere=kipengele
ahsante sana Mwalimu wanguSara=sala
Kipengere=kipengele
Hahahaha.......nilijua tu kuwa utakuja na wazo sawiya.Tafuteni pesa bana mbunye zipo tu ... Na ukiwa na mademu NNE unajiingiza hasara tu
duuuuh! mkuu hapa umeniacha hoi kidogo.Mla vya watu, na vyake huliwa pia
Nimekuacha wapi mkuuduuuuh! mkuu hapa umeniacha hoi kidogo.
Umeniacha njia panda mkuu, hebu fafanua kidogo usemi wakoNimekuacha wapi mkuu
Asante kwa kuliweka hili sawa mkuu, kwakweli hawa viumbe wanatuzidi sana ktk harakati za kutoka nje sema tu wao ni wasiri mnoo....tatizo tu ni kwamba sisi tunakamatwaga kirahisi kwa sabab hatuna usiri km wao.Hapa ndipo wanawake wanapowashinda Wanaume.
Upo hapa unahalalisha kuwa na michepuko kwa kuwa idadi ya Wanawake ni kubwa kuliko Wanaume na wao wanahalalisha kuwa na mahusiano na mwanaume mwingine nje ya ndoa kwa sababu zifuatazo
1. Una mishughuliko mingi
2. Humfikishi
3. Una kibamia
4. Huna swaga kwenye tendo la ndoa
5. Humjali
6. Upo safarini
7. Unamdandia Mara moja kwa wiki
8. Anatoa penzi Ili apate kazi
9. Anatoa penzi kwa ma-X zake
10. Anatoa penzi kwa workmate kwa kuwa tu wameenda seminar Arusha
11. Anatoa penzi kwa mwanamume mrefu kwa kuwa Wewe mfupi
12. Anatoa penzi kwa Rafiki yake WA kiume kwa kuwa anajali.
Note : Kutokuwa waamunifu katika ndoa na mahusiano ni vita isiyo na mshindi.
Mwisho wake ni majuto....
Asante kwa kuliweka hili sawa mkuu, kwakweli hawa viumbe wanatuzidi sana ktk harakati za kutoka nje sema tu wao ni wasiri mnoo....tatizo tu ni kwamba sisi tunakamatwaga kirahisi kwa sabab hatuna usiri km wao.
Ni kujitahidi na kumuomba Mungu kwakweli maana mjini mitego siyo ya kitoto mkuu.Ni kweli Wanaume kudakwa ni rahisi sana linaopokuja swala la " kutoka nje ya ndoa"
Watu wawe waaminifu tu
pamoja mtumishiahsante sana Mwalimu wangu
PM BASII.Hamna mme wako peke ako, hakuna mke wako peke ako pia......
Mke ni mmoja tuu labda uoe changudoa tena ukiwa unajua tuu
ha haaaah!, Time will tell!. Unataka kwenda mbinguni wakati huachi kutenda dhambi ha ha haaaaah!!
Teh!teh!!teh!!!Kambi ipo imara, achilia kuiua hata kuigusa huwezi