Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 77,080
- 165,195
Hata mme ni mmoja labda uolewe na jinga lisilojielewaMke ni mmoja tuu labda uoe changudoa tena ukiwa unajua tuu
Hata mme ni mmoja labda uolewe na jinga lisilojielewaMke ni mmoja tuu labda uoe changudoa tena ukiwa unajua tuu
Mke hapaswi kuambia kwa kuwa anajua tu kuwa wanaohitaji huduma hiyo muhimu ni wengi tena wengine unakuta ni marafiki zake ...Mngeacha kuwaita michepuko muwaite wake zenu, unapiga kampeni hapa halafu huko nje unasema una mke mmoja mwambie mkeo wapo Wengi ili liwe la kawaida kama unavoliongelea humu.
Kambi ipo imara, achilia kuiua hata kuigusa huweziTunafanyaje sasa hii kambi ife?
Ajue toka wapi bila kujulishwa, mnawaua mabinti za watu na maradhi eti huduma. Akili zingine kama ubongo umechanganyika na m.a.v.iMke hapaswi kuambia kwa kuwa anajua tu kuwa wanaohitaji huduma hiyo muhimu ni wengi tena wengine unakuta ni marafiki zake ...
Ajue toka wapi bila kujulishwa, mnawaua mabinti za watu na maradhi eti huduma. Akili zingine kama ubongo umechanganyika na m.a.v.i
una maana gani mkuu ?Mla vya watu, na vyake huliwa pia
Wanawake wanaweza kuishi bila hiyo huduma hata mwaka, wanaume mnasingizia kwamba wanawataka wakati ninyi ndo mnawataka hao wanawake.Hapo mbona sijakuelewa? au labda aloandika hii ni mtoto? Wewe hapo ulipo unajua umuhimu wa hiyo huduma ila basi unaamua kuongea kinyume kwa kuwa huonekani..
WE NI MWANAMKE AU MWANAUME?Wanawake wanaweza kuishi bila hiyo huduma hata mwaka, wanaume mnasingizia kwamba wanawataka wakati ninyi ndo mnawataka hao wanawake.
Njia kuu yako ni mchepuko wa mwenzio so hamna mwanamke wa peke yako piauna maana gani mkuu ?
nimekusoma ... ila kinachotakiwa hapo ni kuheshimiana tu .... achepuke asinionyeshee, nichepuke nisimwoneshe .. life inasonga.Njia kuu yako ni mchepuko wa mwenzio so hamna mwanamke wa peke yako pia
Kwani wewe mwanamke mpk unabisha?WE NI MWANAMKE AU MWANAUME?
Nijuavyo mimi ...
Kama mtu ana afya nzuri, anakula na kunywa, hana msongo wa mawazo, hana maradhi ya kumsababishia kupungua kwa hamu hiyo, miezi mitatu ni mingi sana, otherwise atakuwa anajihudumia mwenyewe kitu ambacho si kizuri kwa afya
Mi mwanaume na niko kwenye jamii ambapo kwa uzoefu wangu najua iko hivyo tu.Kwani wewe mwanamke mpk unabisha?
Basi haiko hivyo kwa wanawake wengi, ndio maana wapo wanaume wengi wenye ndoa wanaolalamika kutopewa unyumba.Mi mwanaume na niko kwenye jamii ambapo kwa uzoefu wangu najua iko hivyo tu.
Ngumu kumezanimekusoma ... ila kinachotakiwa hapo ni kuheshimiana tu .... achepuke asinionyeshee, nichepuke nisimwoneshe .. life inasonga.
Ndoa / mahusiano imara ni yale ambayo washiriki wa mahusiano hayo wanachukuliana mapungufu waliyo nayo. Unaweza kuwa na mwenza ambaye hamu-match kwenye tendo hilo lakini kwa mambo mengine ya kimaisha mko sawa ... kwa hali kama hiyo wa kutafuta suluhisho ni yule asiyeridhika ..
Inawezeekana anamnyima unyumba mme wake .. anautoa nje tena kwa sana.Basi haiko hivyo kwa wanawake wengi, ndio maana wapo wanaume wengi wenye ndoa wanaolalamika kutopewa unyumba.
Kongo au Wine? .....Ngumu kumeza
Ha ha haaaTena kwenu ndio anapitaga sie kaweka kambi kabisa.....
Tafuteni pesa bana mbunye zipo tu ... Na ukiwa na mademu NNE unajiingiza hasara tuMkuu kama nakuelewa vile! ngoja waje wenyewe wakina miss chagga
Safi sana rafiki yangu, ila ......Tafuteni pesa bana mbunye zipo tu ... Na ukiwa na mademu NNE unajiingiza hasara tu