Mr Attorney
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 25,472
- 34,513
Mimi nasafisha siku moja kabla hujafika.Vitu kama vimedandiwa na vumbi
Yan kama we ni mvivu wa kufanya usafi na ukija kusafisha muda mgeni anakuja, hakii kuna vielements vya vumbi vitakuumbua..




