Cash Generating Unit
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,285
- 39,490
- Thread starter
- #101
Kwa bachelor hata panya aishi anakufa kwa njaa.
Kwa nini wasema hivyo? Unajua kaka zangu wana umri gani?Mie nime comment kufuatia hio comment yako sasa. Likely kaka ako atakuwa na kwake kwa sasa. Sitarajii awe anaishi geto!
🤣🤣🤣🤣🤣 sio rahisi ila nime assume kama watakuwa na umri wa kukuzidi ww
Bachelor kupika mvivu yeye take away kila siku sasa panya aingie afena njaa 🤣🤣🤣🤣Dadeki![]()
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 panya lazima awerafiki yako lazima uwenaunga, mchele na vitu vya kutafuna tafuna mkate lazima panya aishi na ww.Sasa mkuu sisi tunaopika imekaaje??
Mimi mwenyewe unajua nina umri gani? Halafu mtoa mada aliposema 'dada zetu' alimaanisha ndugu zake wa kike ambao ni wakubwa kuliko yeye?sio rahisi ila nime assume kama watakuwa na umri wa kukuzidi ww
Hahahah sarcastically hakumaanisha hivyo! Wewe umri wako ni above 28 years.Mimi mwenyewe unajua nina umri gani? Halafu mtoa mada aliposema 'dada zetu' alimaanisha ndugu zake wa kike ambao ni wakubwa kuliko yeye?
Sent using Jamii Forums mobile app
![]()
![]()
![]()
![]()
panya lazima awerafiki yako lazima uwenaunga, mchele na vitu vya kutafuna tafuna mkate lazima panya aishi na ww.

Kwataarifa yako wanawake wanapenda wanaume wachafu ili wawabadilishe na hivyo wanajivunia mchango wao katka kukubadilisha.


Yule jamaa hafi na njaa kizembe eti atajua aishi vipi.Hahahaa mkate unakaa kwa fridge, mchele unga kwa buckets![]()
Tunaomba ututajie hiyo ID tafazaliKuna ID humu nimejua leo kumbe ni jinsia pinzani
Jr![]()