Nitabaka gani linaongoza kwakuvunja ndoa?Maana naona mtu kaolewa mwezi kaachika je msababishaji ni nani??Mume mke??
Au siku hizi ni fashion kuingiza na kutoa??
Nitabaka gani linaongoza kwakuvunja ndoa?Maana naona mtu kaolewa mwezi kaaa je msababishaji ni nani??Mume mke??
Au siku hizi ni fashion kuingiza na kutoa??
Nitabaka gani linaongoza kwakuvunja ndoa?Maana naona mtu kaolewa mwezi kaachika je msababishaji ni nani??Mume mke??
Au siku hizi ni fashion kuingiza na kutoa??
hivi neno tabaka na neno jinsia yana maana moja??????????
tabaka mimi naelewa ni mfano 1.rich class 2.middle class
3.low class
hata kwenye mapenzi? Maana kuna stori za wake za matajiri kubanjuka na wachunga ng'ombe. Fafanua mkuu
The Bossmatabaka ya mapenzi siyajui
nayajua hayo tu...
Nitabaka gani linaongoza kwakuvunja ndoa?Maana naona mtu kaolewa mwezi kaachika je msababishaji ni nani??Mume mke??
Au siku hizi ni fashion kuingiza na kutoa??