Money Penny
JF-Expert Member
- Jun 20, 2016
- 15,921
- 14,821
Haya mje sasa
Naona kumekucha
Haya MALALAMIKO nimeyapata Kwa dada alieolewa miezi 6 iliopita, kaolewa huko Kwa walokole
Kisa kinaenda hivi
Mlokole: Money penny me naumia Sana, huwezi amini tangu tuoane hatujawahi tembea pamoja kama MKE na mume
Money penny: Nini mbaya mami??
Mlokole: Mume hasimamishi nanii yake
Money penny: Kivipi?
Mlokole: unajua Sisi kabla hamjaolewa hairuhusiwi kuzini wala kujuana sehemu zenu za siri, nikavumilia na kutii maagizo ya kanisa, lakini tulipoongea Tu yupo honey moon nikajuà mwanaume hasimamishi, sijui nafanyaje na huu NI mwezi wa 6
Money penny: Umeenda kwa Mchungaji au wasimamizi WA ndoa wakasemaje?
Mlokole: wote wanasema ndoa haivunjwi kwasababu mwanaume hasimamishi kitakachovunja ndoa NI kifo tu na Mungu wenyewe Sisi haturuhusiwi
Sasa nifanyaje?
Msaidieni binti WA watu afanyaje
Naona kumekucha
Haya MALALAMIKO nimeyapata Kwa dada alieolewa miezi 6 iliopita, kaolewa huko Kwa walokole
Kisa kinaenda hivi
Mlokole: Money penny me naumia Sana, huwezi amini tangu tuoane hatujawahi tembea pamoja kama MKE na mume
Money penny: Nini mbaya mami??
Mlokole: Mume hasimamishi nanii yake
Money penny: Kivipi?
Mlokole: unajua Sisi kabla hamjaolewa hairuhusiwi kuzini wala kujuana sehemu zenu za siri, nikavumilia na kutii maagizo ya kanisa, lakini tulipoongea Tu yupo honey moon nikajuà mwanaume hasimamishi, sijui nafanyaje na huu NI mwezi wa 6
Money penny: Umeenda kwa Mchungaji au wasimamizi WA ndoa wakasemaje?
Mlokole: wote wanasema ndoa haivunjwi kwasababu mwanaume hasimamishi kitakachovunja ndoa NI kifo tu na Mungu wenyewe Sisi haturuhusiwi
Sasa nifanyaje?
Msaidieni binti WA watu afanyaje