Dada zangu kuweni makini, UKIMWI upo

Dada zangu kuweni makini, UKIMWI upo

I agree with you tena ukichangia wakati wa tendo lile kule kukiwa Ku kavu ni hatari mno,
True, Mwenye uafadhali ni mwanaume.. hasa akikuta mwanamke positive yupo under medication, ila kwa mwanamke kupona labda iwe kigezo cha damu ambacho bado kinafanyiwa utafiti!
 
True, Mwenye uafadhali ni mwanaume.. hasa akikuta mwanamke positive yupo under medication, ila kwa mwanamke kupona labda iwe kigezo cha damu ambacho bado kinafanyiwa utafiti!
Hapo ni hatari mno aisee, sasa hapo ukavu had mwanaume unachubuka heeeh huu ugonjwa ukifatilia na conspiracy zake bado ni utata aisee, unakuta mume mgojwa mke mzima au mke mgonjwa mume mzima
 
Hapo ni hatari mno aisee, sasa hapo ukavu had mwanaume unachubuka heeeh huu ugonjwa ukifatilia na conspiracy zake bado ni utata aisee, unakuta mume mgojwa mke mzima au mke mgonjwa mume mzima
Hiyo ipo sana, ila Mara nyingi inakuwa Mke kawaka.. Mume mima na hii inalie kwenye Factor kwamba mwanaume sio rahisi kupata hasa asipokamia mechi!, ila case ya mwanamke i ngumu kidogo kuielezea Hapa!
 
Asilimia kubwa mwenye maamuzi juu ya kutumia au kutotumia kondom ni mwanaume, mwanamke ukishamlainisha tepetepe yy anataka dushe tu ukishakojoa ndo atakwambia hv tumefnya kavu? Mm naogopa mimba bhana, ukimwi wala hawanaga stori nao
 
Hiyo ipo sana, ila Mara nyingi inakuwa Mke kawaka.. Mume mima na hii inalie kwenye Factor kwamba mwanaume sio rahisi kupata hasa asipokamia mechi!, ila case ya mwanamke i ngumu kidogo kuielezea Hapa!
Na wanawake wanaonekana wanao maana wengi ni lazima kupima clinic wanaume hula corner Mara nyingi, kuna hospital niliona case mama kapata ugonjwa na hajawahi kuchepuka kabisa na alipima akiwa mjamzito akawa nao sasa akawa anajiuliza imetokeaje maana ukiwa mjamzito na mimba zilivo immunity ya mwili lazima I shake
 
Jamani wote tunatakiwa tuvae condom, ukiuvaa ni uzembe wako. Matagazo kila kona mpaka mwanangu anasema baba mwanaume wa kweli anatumia dume condom! Balaa. Kweli kavu tamu lkn tunafanya maisha yakawa mafupi. Kuna baadhi ya wanawake kweli hawapendi condoms. Lkn si suala la wewe kuchekelea ujue ndo una ji RIP MAPEEEMA
 
mama kapata ugonjwa na hajawahi kuchepuka kabisa na alipima akiwa mjamzito
Kwenye Hii scenario ipo hivi, Katika Upimaji wa HIV kinachopimwa ni aina fulani ya Protein, sasa wamama katika kipindi cha ujauzito wanakuwa na level kubwa ya Protein.. ambayo baada ya kupimwa they are most likely to be False Positive!
 
Kwenye Hii scenario ipo hivi, Katika Upimaji wa HIV kinachopimwa ni aina fulani ya Protein, sasa wamama katika kipindi cha ujauzito wanakuwa na level kubwa ya Protein.. ambayo baada ya kupimwa they are most likely to be False Positive!
Na hyo huwaathiri wengi aisee mama alihangaika zaidi ya hospital tano hivi kah kumbe ni hyo level ya protini
 
Tena kwa changu hata ukitumia kondomu jinsi huwa hamna maandakizi kule Ku kavu uko kwenye hatari kubwa sana aisee. Na mtu unapigaje deki kwa changu jamani kah
Changu hutumia KY na kawaida ni kuingiza ukakojoa unatawanyika. Condom inazuia kukutana vikojoleo. Ukiwa na GF inabidi umuandae, hapo lazima na wapeleleze watumike halafu unatumia mikono bila kunawa unavaa condom (unaiambukiza Condom). Aidha ukila udednda na mna michubuko unategemea nini. Kama hiyo haitoshi unakuta mtu anatumia ulimi kulamba li-K na kama mtu anaishi kwa matumaini basi anavikwaa virusi. Mwisho akitaka kuingiza dushe ati hapo anajali avae condom!!!
 
Changu hutumia KY na kawaida ni kuingiza ukakojoa unatawanyika. Condom inazuia kukutana vikojoleo. Ukiwa na GF inabidi umuandae, hapo lazima na wapeleleze watumike halafu unatumia mikono bila kunawa unavaa condom (unaiambukiza Condom). Aidha ukila udednda na mna michubuko unategemea nini. Kama hiyo haitoshi unakuta mtu anatumia ulimi kulamba li-K na kama mtu anaishi kwa matumaini basi anavikwaa virusi. Mwisho akitaka kuingiza dushe ati hapo anajali avae condom!!!
Maisha haya ni complicated sema wasio wagonjwa hawajali afya za wengine so selfish aisee, bora kuhakikisha no michubuko basi
 
Back
Top Bottom