Dada zangu kuweni makini, UKIMWI upo

Dada zangu kuweni makini, UKIMWI upo

Huyo hajipendii...

Msema ukweli mpenzi wa Mungu, mie mwenyewe sipendi ndomu, kavu tamu jamanii aaaah kila mahali kwe nye mwili panasisimka.

Kitu cha kwanza kwa Kasie, ikibidi nishushe kisinda ushuzi chini, basi lazima wiki moja kabla ya tukio kama si mwezi tupime. Hapo najisanua kwa afya yangu.

Hadi nikisanue...... ntakufanyia drama zote na kama una roho ndogo kama wa hit and run utakimbia mwenyewe na kusema sizitaki mbichi hizi kumbe mbivu ila ndo Matata heheheheheee.

Kavu nakula ila kwa akili.

Sasa wanaoiga bila kujua mahali na wakati muafaka wa kufanya walichoiga.... ndo wanaishia kulia kwenye vituo vya afya.


Mpe pole mhusika japo angalizo sio kwa kina dada tuu, hata wakaka / wababa aka wanaume kujilinda ni muhimu iwapo unajipenda. Ila kama mtu hajipendi wala hajijali basi atajiachia achia hovyo na yeyote popote.

Kasie Mahaba.
I miss you my Kassie
 
Hiyo safi sana Kasie, mimi binafsi nimeshakutana na hao wasiopenda kuzitumia, ninachokifanya huwa nawaambia tukapime,akikataa naachana naye.

Afya kwanza mapenzi baadae.

Kwa jinsi ninavyopenda kufanyana, lazima nijali afya yangu maana nisipoijali, ntajikuta kila leo afya mgogoro halafu ntakuwa sifanyi hivyo nikakosa utamu.....

Kasie Mahaba.
 
Huyo hajipendii...

Msema ukweli mpenzi wa Mungu, mie mwenyewe sipendi ndomu, kavu tamu jamanii aaaah kila mahali kwe nye mwili panasisimka.

Kitu cha kwanza kwa Kasie, ikibidi nishushe kisinda ushuzi chini, basi lazima wiki moja kabla ya tukio kama si mwezi tupime. Hapo najisanua kwa afya yangu.

Hadi nikisanue...... ntakufanyia drama zote na kama una roho ndogo kama wa hit and run utakimbia mwenyewe na kusema sizitaki mbichi hizi kumbe mbivu ila ndo Matata heheheheheee.

Kavu nakula ila kwa akili.

Sasa wanaoiga bila kujua mahali na wakati muafaka wa kufanya walichoiga.... ndo wanaishia kulia kwenye vituo vya afya.


Mpe pole mhusika japo angalizo sio kwa kina dada tuu, hata wakaka / wababa aka wanaume kujilinda ni muhimu iwapo unajipenda. Ila kama mtu hajipendi wala hajijali basi atajiachia achia hovyo na yeyote popote.

Kasie Mahaba.
1538665952756.png
 
Kabla ya kupima tulikuwa kwenye benchi tunamsubiri mpimaji ameenda kunywa chai,basi tukaanza stori,akaambia anawasiwaai sababu ametembea na wanaume watatu na mmoja tayari kampa UTI,nikawa nampa moyo usiogope,..alivyorudi mpimaji tulivyopimwa ndio yakatokea yakutokea....alafu mkuu sikufichi ukipewa mjibu ambayo hujayategemea lazima utapanic tu.
Mitaa gani hiyo mtu analia? Iweje atamke hadharani angali majibu ni siri ya mhusika aliyepima
 
Kuna dada mmoja tulisoma nae Alevel. Tulipotezana baada ya kumaliza shule, tukaja kuonana miaka kibao baadae yeye anaishi Zanziberi basi kwenye kuongea hapa na pale akawa ananiambia. Kasie ku.to.mba.na kutamu banaa uuuwiiih asikwambie mtu. Hasa mkiandaana, akanisimulia yeye anatumia mafuta mbalimbali ya asili, mafuta ya maji kumsinga kwanza mwanaume kabla hawajaanza shughuli, yeeuwiih akitoka hapo anavyokandamizwa, anasukumiwa ndanii na kujikuta anaongea lugha zote na kutoa sauti aina zote. Hhahahahahhaaaa nikawa nachekaaaa.

Nyama ya binadamu tamu sana hasa ukijua kuinyambua, kuipika na kuila.

Wanaojua Mahaba watanielewa, sio kuipika jikoni laaah!!

Kasie Mahaba.
Umeona eeee
Kwanza condom zinawasha.

Ukitoka kutiwa unaanza kujiwasha na yake mafuta futa.
Unajimanua ili ujikune, tabu zote za nini?
Unapiga kavu, mzee anamwagia nje.
Ndani labda muwe mnaaminiana
 
Back
Top Bottom