DADA YENU MAPENZI YAMENIKABA KOO

DADA YENU MAPENZI YAMENIKABA KOO

Kubali hali mmeachana, kukubali hali inasaidia uambie moyo wako you and him ts over hakuna kingine pingana na akili yako na moyo wako kila linapokuja swala kuhusu yeye

Jichanganye na watu, jipende focus na maisha yako mtu sahihi atakupenda vile ulivyo usifos kitu ambacho kitakuja kukucost baadae sababu moyo na akili havitaki

Usipende kua alone muda mrefu jaribu kua na watu,jikeep busy jipe trips uifrahishe nafs najua kama mwanadam swala la mapenzi haliepukiki lakini utafika muda wake na mtu sahihi

Hold on Allah hasnt finished with you yet!
Thank you so much madam S... it really hurts to move on kwa kweli...ila natumai ntaweza!
 
Tatizo kwenu ndo lipo hapo dada yangu... MWANAMKE AKISOMA SANA ANAJIPUNGUZIA ASILIMIA ZA KUOLEWA. Na hizo unazosema "nina misimamo yangu" , "msimamo wangu ukawa ni uleule" ni ngumu kumletea mwanaume misimamo yako na ukategemea atakuoa.
Pia hata hilo suala la sex, ushakuwa mtu mzima hivyo unakazi bado unabana sex, mtu atakuoaje hata hajui ufundi wako kitandani. Dada ndoa ni agano la milele, hatuwezi kwenda tu ndoani kwa mambo ya kusadikika hiyo kitu haina reverse dada.
Angalia we mwenyewe umeshajiweka ktk daraja la juu na zaidi hauko romantiki, hujui maana ya mapenzi, hujui haiba za kike. Kuna vitu vinakosekana kwako hasa kuwa romantic hilo linakugharimu sana
 
trust me hii haikua sababu ya mm kuanza nae mahusinao..kwanza wakati nipo nae alikua ametoka training kachoka...kama hela anazo sasa hvi

thank you Dabby for passing by...how i wish nijitaje jaman!
 
Habari za weekend wanajamvi..

Mimi ni member mzoefu,nmeona nitumie ID mpya ili niwe huru zaidi kujielezea...nmefikwa kooni nahitaji ushauri

Mm ni mtu mwenye msimamo wa dini na nina misimamo yangu ya maisha,nashkuru Mungu nimesoma vzuri na nina kazi nzuri... (sio slay queen)..Anyways,,binafsi kwa mara ya kwanza kabisa nmeanza kujihusisha na mahusiano nilikua chuo mwaka 2 kuingia wa3...(field),,,Nilikutana na kijana na hapo ndio ilikua mwanzo wa mahusiano na mwanzo wa hata ku-kiss
Mahusiano yale yalidmu miezi kadhaa na nliyaacha baada ya kugundua yule mwanaume hakuwa wa dini yangu (alinidanganya dini)...na mm mtu wa hvo naona hatutafika mbali na mm sipendi kua na mahusiano yasio na future....uzuri ni kwamba sikusex nae

Sikujihusisha tena na mahusiano mpka nkamaliza chuo,nkawa kitaa nasaka ajira...nikakutana na mkaka wa makamo,,nikaona at least huyu age yake imeenda labda kweli anataka ku-settle down...
tulikaa kwenye mahusiano kwa muda wa miezi kama 7..huyu kaka nilimkuta na watoto wawili wa mama tofauti...mama wa mtoto wa kwanza alishaolewa,ana familia yake..mama wa mtoto wa pili walikua wameachana na huyu kaka alikataa mimba (kwamba hawakua na makubaliano ya yule dada kubeba mimba ila m.ke aliilengesha)...

Ukweli huu alinambia mwanzo kabisa akiwa ananitongoza,,basi me nkajua ntaweza yavumilia,,mahusiano yetu yalikua mazuri lakini likija swala la kuombwa mechi me nkawa nakaza..jamaa akawa ananiambia sasa tutakuaje kimahusiano kama kaka na dada?!,,,nkamwambia mm siwezi kulala na wewe... (siamini katika sex before ndoa)...akawa ananambia inabdi kwanza nizae au kama nikunioa basi niwe na mimba ila yeye hawezi uziwa mbuzi kwenye gunia...tuliendaaaaa ikafika point nkaona kabisa haya mahusiano nayalazimisha!,basi kila mtu akashika shughuli zake...

Akawa ananitafuta siku moja moja (hakutaka kuamini kweli naweza mkatalia kusex),basi tukionana hakuna jipya msimamo wangu ni ule ule..

Nkapata kazi nkapangiwa mkoa wa mbali na jamaa,,mawasiliano yetu yakaena yakawa yanafifia kabisaa..ila akawa kila akija mkoa niliopo ananitafuta (nature ya kazi yake anasafiri sana)..

Nkamwambia yaan wew siku zote huniuliziagi ila mpaka uje huku...anazuga na sababu zisizo za msingi..

Siku moja nkaona amepost picha ya mtoto (nikajua ni yule mtoto aliemkataaga),,kama vile wameelewana na yule mzazi mwenzie...basii siku aliokuja mkoa niliopo,,nkamuuliza akasema mm nmefata mtoto ila yule mwanamke sijarudiana nae...lakn yule mwanamke anacoment kabisa kwenye picha zake mara mume,mpenzi,kiboko yangu n.k....ikifika birthday ya m.ume mdada atajishughulisha cake na mazawadi kedekede...

anakuja huku nilipo anakataa hawajarudiana ila inta unaona yule mwanamke na the guy wameenda trip zanzbr na mtoto...hio siku nikanyanyua mikono juu nkasema hapa sina hata matumaini..nkawa mkali kwa jamaa nkamwambia tafadhali naomba ukija huku nilipo fanya yaliyokuleta usepe...nkawa mkali...nkafuta namba zake...akawa hata akinitext whatsapp simjibu!

sasa nkakaa kama miezi 8 au 9..nkajaribu mahusiano mengine...nafs yangu inakua ngumu kumuamini mwanaume tena!,naona uongo umezidi kiasi kwamba huyu mwanaume akanambia mm sionyeshi kumpenda na sina feelings nae (kilichoni dissapoint kwa huyu kaka ni na yeye ana watoto na hakuniambia before...)na mm nkapunguza mawasiliano na last week tukaachana kabisa..baada ya kujua ana watoto mzuka ule wa mahusiano ukafa..sitaki baby mama dramas

Nafsi yangu kusema ukweli ilimpenda sana sana sanaa huyu kaka mwengine ambae amaerudiana na baby mama wake (na hawaezi oana dini mbalimbali kabisaaaa),,...ila mwanamke sa hvi ni mjamzito anazaa mtoto mwingine baada ya miaka 8

Nafsi yangu ina maumivu makali sana jaman,nifanyaje nisahau na niweze move on?,!,yaan nmeshalia sana sana kwa Mungu wangu,kumuomba aniwezeshe nisahau jaman...

Nisaidieni wanajamvi..ni kweli kabisa siwezi pata mwanaume atakaekubali mvumilia mwanamke mpka amuoe?!,, Nahisi subira yangu ya kujitunza uanamke wangu inanishinda (Im 26 now)...,

Na pili huyu mwanaume namtoaje akilini jaman?!...

NB::: comments ntazisoma kupitia account yangu ya kawaida hapa nimemaliza...nmetumia hii ili nijimwae mwae...
Njoo huku sasa mumeo niko hapa..!
 
trust me hii haikua sababu ya mm kuanza nae mahusinao..kwanza wakati nipo nae alikua ametoka training kachoka...kama hela anazo sasa hvi

thank you Dabby for passing by...how i wish nijitaje jaman!
Hii lugha ya Nina misimamo yangu, Nina kazi nzuri, ni bikra na bra bra of this kind siyo test most men wanahitaji toka kwa Mwanamke wa kuoa....na Kwa taarifa yako, suala la bikra Kwa mazingira ya Vijana wa sasa siyo kinga wala deal kwao. Pili juu ya wanaume walioenda age siyo guarantee hata kidogo na don't play hiyo game.....omba Mungu, kuwa mnyenyekevu na hekima katika mahusiano yako, kuanzia huko kwenye kanisa, temple, msikiti au ministry yako. Kinachompa credit Mwanamke we call wife materials ni tabia yake, mwenendo wake, mahusiano yake na wengine (jamii yake, wafanyakazi wenzake, washirika wake etc).
Maisha yako ni kielelezo tosha cha namna gani utaishi katika ndoa/nyumba.
Ninayo mifano kibao Sana.....ikikupendeza Sana ni text inbox kwa live conversation.
Kila la kheri.
 
acha ujinga wewe toa nyapu hiyo watu watafune kwanza wajue radha yake ndo mambo mengine yafuate.

Mtu mwenyewe unaonekana unapenda wanaume wenye mionekano ya kimalaya hlf kuwapa nyapu hutaki,good boy hutaki kwanza hawakuvutii sasa utapata wapi mwanaume malaya ambaye utamuuzia ng'ombe kwenye gunia???????????

Hiyo bikra ilikuwa na thamani miaka ya 47 huko,nenda na wakati wewe kwanza Ni Pm nikwambie kitu
Khaaaa
 
unatuzingua tu apa, Mara mwanzo wakati ananitongoza alinambia wazi, badae mawasiliano hafifu sababu ya umbali, Ila updates zake Zote unazooo, oooh Simpendi tena Mara naumiaaa.. Yaan hujui unachotaka ni nini?
 
26 ndo unalialia hivi, je ukifika 30 si utarukwa akili!

Hebu tuliza akili yako kila jambo na wakati wake
 
Back
Top Bottom