1kush africa
JF-Expert Member
- Dec 13, 2016
- 9,969
- 13,848
Endelea kubans tu,, wenzio wanaachia wanakwea kilimanjaro,, we pamoja na kujibana mbinguni huendi
Tehteh... Kujuaje mapenzi?Sababu kubwa wanajua mapenzi, wametulia na kukua kiakili kimwili na kiroho na hawasumbui ka vijana, na wanajua wanacho kitaka. So ku date nao raha sana haya ya uchumi kila mtu hujishugulisha
Kuweza kuwa na mawazo kama yako inahitajika hekima na busara kma ya SuleimaniAfu hawaelewi pesa ni mwanzoni tu , ukishaanza kupendana wala huwez kumchuna ila unampenda yeye kama yeye.....na kama akikuchukulia poa kisa pesa zake unaliacha tu
Mahusiano ni zaidi ya pesa
Duh kudadeki hii ndio JF halisi kudadeki ajifanye kama anajikunaNilichoelewa kwenye huu uzi wote kwamba wewe ni bikra!
Na huu mtego iwe kwa hiari yako au umetumwa siwezi kuuingia
HahahahaTehteh... Kujuaje mapenzi?
Hii ni formula ambayo ipo...Unakuta mnapotafuta wenza wa kutulia nao mnawataka hao ila mkishatulia nao mkaoana mambo yanabadilika...
Mnarudi mdogo mdogo kwa vijana wenzenu mliowaona hawajatulia... inakuaje hapa?
Good to you.Hahahaha
Ningekua mgeni wa mahusiano kama mtoa mada probably nngechukua ushauri wako ......uzur au ubaya zaid nina uzoefu / nauelewa mzuri tu na kitu ninachokiongea wala sibahatish kaka
Tehteh... Kujuaje mapenzi?
Hii ni formula ambayo ipo...Unakuta mnapotafuta wenza wa kutulia nao mnawataka hao ila mkishatulia nao mkaoana mambo yanabadilika...
Mnarudi mdogo mdogo kwa vijana wenzenu mliowaona hawajatulia... inakuaje hapa?
Hongera...ila wanarudi wengi mnawapa wazee wetu wakati mgumu huko uzeeni.Mi siwezi kurudi kwa kijana nikipata mtu mzima natulia ka maji mtungini maana ka nikuruka sharuka na kila size na sioni jipya kabisa.
Hongera...ila wanarudi wengi mnawapa wazee wetu wakati mgumu huko uzeeni.
Mwanaume wa kukuoa wewe hayupo hata ukiolewa uwe unamwita mme wetu au ukiolewa mmeo awe anakuita mke wetu hayo ndo maisha halisi...Habari za weekend wanajamvi..
Mimi ni member mzoefu,nmeona nitumie ID mpya ili niwe huru zaidi kujielezea...nmefikwa kooni nahitaji ushauri
Mm ni mtu mwenye msimamo wa dini na nina misimamo yangu ya maisha,nashkuru Mungu nimesoma vzuri na nina kazi nzuri... (sio slay queen)..Anyways,,binafsi kwa mara ya kwanza kabisa nmeanza kujihusisha na mahusiano nilikua chuo mwaka 2 kuingia wa3...(field),,,Nilikutana na kijana na hapo ndio ilikua mwanzo wa mahusiano na mwanzo wa hata ku-kiss
Mahusiano yale yalidmu miezi kadhaa na nliyaacha baada ya kugundua yule mwanaume hakuwa wa dini yangu (alinidanganya dini)...na mm mtu wa hvo naona hatutafika mbali na mm sipendi kua na mahusiano yasio na future....uzuri ni kwamba sikusex nae
Sikujihusisha tena na mahusiano mpka nkamaliza chuo,nkawa kitaa nasaka ajira...nikakutana na mkaka wa makamo,,nikaona at least huyu age yake imeenda labda kweli anataka ku-settle down...
tulikaa kwenye mahusiano kwa muda wa miezi kama 7..huyu kaka nilimkuta na watoto wawili wa mama tofauti...mama wa mtoto wa kwanza alishaolewa,ana familia yake..mama wa mtoto wa pili walikua wameachana na huyu kaka alikataa mimba (kwamba hawakua na makubaliano ya yule dada kubeba mimba ila m.ke aliilengesha)...
Ukweli huu alinambia mwanzo kabisa akiwa ananitongoza,,basi me nkajua ntaweza yavumilia,,mahusiano yetu yalikua mazuri lakini likija swala la kuombwa mechi me nkawa nakaza..jamaa akawa ananiambia sasa tutakuaje kimahusiano kama kaka na dada?!,,,nkamwambia mm siwezi kulala na wewe... (siamini katika sex before ndoa)...akawa ananambia inabdi kwanza nizae au kama nikunioa basi niwe na mimba ila yeye hawezi uziwa mbuzi kwenye gunia...tuliendaaaaa ikafika point nkaona kabisa haya mahusiano nayalazimisha!,basi kila mtu akashika shughuli zake...
Akawa ananitafuta siku moja moja (hakutaka kuamini kweli naweza mkatalia kusex),basi tukionana hakuna jipya msimamo wangu ni ule ule..
Nkapata kazi nkapangiwa mkoa wa mbali na jamaa,,mawasiliano yetu yakaena yakawa yanafifia kabisaa..ila akawa kila akija mkoa niliopo ananitafuta (nature ya kazi yake anasafiri sana)..
Nkamwambia yaan wew siku zote huniuliziagi ila mpaka uje huku...anazuga na sababu zisizo za msingi..
Siku moja nkaona amepost picha ya mtoto (nikajua ni yule mtoto aliemkataaga),,kama vile wameelewana na yule mzazi mwenzie...basii siku aliokuja mkoa niliopo,,nkamuuliza akasema mm nmefata mtoto ila yule mwanamke sijarudiana nae...lakn yule mwanamke anacoment kabisa kwenye picha zake mara mume,mpenzi,kiboko yangu n.k....ikifika birthday ya m.ume mdada atajishughulisha cake na mazawadi kedekede...
anakuja huku nilipo anakataa hawajarudiana ila inta unaona yule mwanamke na the guy wameenda trip zanzbr na mtoto...hio siku nikanyanyua mikono juu nkasema hapa sina hata matumaini..nkawa mkali kwa jamaa nkamwambia tafadhali naomba ukija huku nilipo fanya yaliyokuleta usepe...nkawa mkali...nkafuta namba zake...akawa hata akinitext whatsapp simjibu!
sasa nkakaa kama miezi 8 au 9..nkajaribu mahusiano mengine...nafs yangu inakua ngumu kumuamini mwanaume tena!,naona uongo umezidi kiasi kwamba huyu mwanaume akanambia mm sionyeshi kumpenda na sina feelings nae (kilichoni dissapoint kwa huyu kaka ni na yeye ana watoto na hakuniambia before...)na mm nkapunguza mawasiliano na last week tukaachana kabisa..baada ya kujua ana watoto mzuka ule wa mahusiano ukafa..sitaki baby mama dramas
Nafsi yangu kusema ukweli ilimpenda sana sana sanaa huyu kaka mwengine ambae amaerudiana na baby mama wake (na hawaezi oana dini mbalimbali kabisaaaa),,...ila mwanamke sa hvi ni mjamzito anazaa mtoto mwingine baada ya miaka 8
Nafsi yangu ina maumivu makali sana jaman,nifanyaje nisahau na niweze move on?,!,yaan nmeshalia sana sana kwa Mungu wangu,kumuomba aniwezeshe nisahau jaman...
Nisaidieni wanajamvi..ni kweli kabisa siwezi pata mwanaume atakaekubali mvumilia mwanamke mpka amuoe?!,, Nahisi subira yangu ya kujitunza uanamke wangu inanishinda (Im 26 now)...,
Na pili huyu mwanaume namtoaje akilini jaman?!...
NB::: comments ntazisoma kupitia account yangu ya kawaida hapa nimemaliza...nmetumia hii ili nijimwae mwae...
Hata hatuwapi tabu ujue wengine tukioendwa na kujali nasi tu napenda kweli nakutulia hapo si cheat kabisa natulia. Nikiwa na kijana akili sawa tuta shindana tu uhuni bure
Lazima uonje kwanza ndo ubebe mzigo. Ukioa mwanaume mwenzio je!?
Tehtehteh...
Na wala hata sikukaribishiiiiNilichoelewa kwenye huu uzi wote kwamba wewe ni bikra!
Na huu mtego iwe kwa hiari yako au umetumwa siwezi kuuingia
Nashkuru mwayaa kwa kunipa moyooNdiyo mapenz hayo vijana hawatak mbusi kwa gunia
Microphone test eeh
Microphone test
Unabahat hukutoa nyapu yako
Ushaur wangu usitoe nyapu kaza hivo hivo
Tulia omba Mungu atakupa
Tatizo nyie binadamu ni wabish sanaaa mnafanya mambo kwa akili zenu hautafika mbali
Yaan ww ni saiz yangu kukuoa kabsaaa kwa huo umri wako ila naogopa utaniumiza na mimi nlishasema sitak kuumiza mtu
Tulia Mungu nimwaminifu atakupa wako
Kuwa na imani dhabiti
Kwamwe usilipe kisas kwa huyo jamaa
Tulia tulia yupo wako
sawa kaka yangu nmekuskia,nashkuruuuDadahuyu Hongera sana sana kwa kujitunza na tafadhali kuwa na msimamo huo huo. Mungu anakuletea mitihani hii na ile na shetani nao anakuzengea utende dhambi kabla ya ndoa. Sasa cha kufanya ni hivi? Kwanza hao wote waliokutaka utoke nae kimapenzi kabla ya ndoa ni mafirauni tu achana nao. Kutoka kimapenzi ni kuuza utu wako Msemo huu wa kwamba kutokuuziwa mbuzi kwenye gunia ni msemo wa vijiweni tu..... na ukiona mwanaume anaunukuu huo msemo kwa ajili ya akule tu tunda mkimbie umbali mrefu maana hana mapenzi ya kweli, sisi wanaume tukigundua kuna udhaifu mdogo tu kwenye kugegeda basi demu tunamtosa na kumkibia tena kwa masimango siku ya pili tu. Dada yangu acha kuogopa maisha, usitafute mwanaume ambae amechoka (unavyowaita wame settle) tafuta hata kijana ambae ni mshika dini kama wewe walau anamiliki meza ya kuuza nyanya hata sokoni tu. Umri unakwenda na hao unaowaita walo settle wana mambo 100 kidogo, Kuna siri kidogo nyuma ya bazia ya kwanini wamama wakina mama diamond, wakina shilole na wengineo wanatafuta vijana wadogo wasio na mbele wala nyuma wengine hata kukoga tu hawajui? Katika Uislam bibi Khadija alitoa mahari kumpa Mtume Muhammad amuoe unajua ni kwanni? unajua Muhammad alikuwa na umri gani na Khadija alikuwa na umri gani wakati huo? ni funzo Mungu anatupa. Usijaribu kutafuta vilivyokwisha undwa, dada yangu pambana unda chako mwenyewee. Mungu amekuepusha na mitihani kwa hao wanaume sasa tafuta cha kwako, nenda sokoni, madukani kwa wauza mitumba na sehemu zengine, peleleza, uliza mpaka upate chako mwenyewe unakitengeneza from zero, from scratch hapo ndio utaona utamu wa ndoa.
ahsante mwayaaDah kwel kumbe Bado kuna watu wa Aina hii
Mungu akubariki sana dada angu