Kwa IQ ya wanawake. Sidhani kama hili swali lako watafaulu kulijibu.Wanawake hivi ni kweli huwa mnaamini kwenye akili zenu wanaume waliowazidi umri hasa mkubwa ndiyo wazuri kwa mapenzi kwasababu wametulia au ni sababu za kiuchumi?
Wengi wao wanakua matured ,sio kama vijana ukinuna na yeye kanunaWanawake hivi ni kweli huwa mnaamini kwenye akili zenu wanaume waliowazidi umri hasa mkubwa ndiyo wazuri kwa mapenzi kwasababu wametulia au ni sababu za kiuchumi?
teh teh teh yani we jamaa upo jf kutuburudisha tu ubarikiwe tumia kipaji chako kwa faida zaidi naona unakipaji cha kufanya watu wachekepole sana dada, jaribu kunywa panadol itakusaidia
Nadhani haka ni kasababu kadogo.Wengi wao wanakua matured ,sio kama vijana ukinuna na yeye kanuna
Ni sababu kubwa tuu, vijana hapo hata hamjazoeana vizur malalamiko kibao eti mbona hupigi simu kila siku mpaka nikuanze khaaaaa inshort ni kero tupuNadhani haka ni kasababu kadogo.
Huyu siyo wewe kweli umeibuka na ID mpya?!Pole sana
Jitahidi tu kwa kweli umove on...
Jibu swali la dini yako basi...Ni sababu kubwa tuu, vijana hapo hata hamjazoeana vizur malalamiko kibao eti mbona hupigi simu kila siku mpaka nikuanze khaaaaa inshort ni kero tupu
Dini yangu inahusika vipiJibu swali la dini yako basi...
Ila wanawake wengi hampo tayari kuanzia chini na vijana wenzenu...sizungumzii wewe 28 na yeye 28.Ni sababu kubwa tuu, vijana hapo hata hamjazoeana vizur malalamiko kibao eti mbona hupigi simu kila siku mpaka nikuanze khaaaaa inshort ni kero tupu
Dini yangu inahusika vipi