DADA YENU MAPENZI YAMENIKABA KOO

DADA YENU MAPENZI YAMENIKABA KOO

Umezunguuka sana ukiwa mhalisia unasema tu kwenye mazingila yangu nimekosa natafuta mume humu ingetosha tu

Wake wacha mungu wanavyo tafuttwa myezi mitatu usingemaliza me akisha hakiki kweli unamuogopa Mungu.
 
Wanawake hivi ni kweli huwa mnaamini kwenye akili zenu wanaume waliowazidi umri hasa mkubwa ndiyo wazuri kwa mapenzi kwasababu wametulia au ni sababu za kiuchumi?
Kwa hiyo umeamini kabsaaa mleta uzi ni mcha Mungu na ana bikra?

Habali ya masiku mingi
 
Habari za weekend wanajamvi..

Mimi ni member mzoefu,nmeona nitumie ID mpya ili niwe huru zaidi kujielezea...nmefikwa kooni nahitaji ushauri

Mm ni mtu mwenye msimamo wa dini na nina misimamo yangu ya maisha,nashkuru Mungu nimesoma vzuri na nina kazi nzuri... (sio slay queen)..Anyways,,binafsi kwa mara ya kwanza kabisa nmeanza kujihusisha na mahusiano nilikua chuo mwaka 2 kuingia wa3...(field),,,Nilikutana na kijana na hapo ndio ilikua mwanzo wa mahusiano na mwanzo wa hata ku-kiss
Mahusiano yale yalidmu miezi kadhaa na nliyaacha baada ya kugundua yule mwanaume hakuwa wa dini yangu (alinidanganya dini)...na mm mtu wa hvo naona hatutafika mbali na mm sipendi kua na mahusiano yasio na future....uzuri ni kwamba sikusex nae

Sikujihusisha tena na mahusiano mpka nkamaliza chuo,nkawa kitaa nasaka ajira...nikakutana na mkaka wa makamo,,nikaona at least huyu age yake imeenda labda kweli anataka ku-settle down...
tulikaa kwenye mahusiano kwa muda wa miezi kama 7..huyu kaka nilimkuta na watoto wawili wa mama tofauti...mama wa mtoto wa kwanza alishaolewa,ana familia yake..mama wa mtoto wa pili walikua wameachana na huyu kaka alikataa mimba (kwamba hawakua na makubaliano ya yule dada kubeba mimba ila m.ke aliilengesha)...

Ukweli huu alinambia mwanzo kabisa akiwa ananitongoza,,basi me nkajua ntaweza yavumilia,,mahusiano yetu yalikua mazuri lakini likija swala la kuombwa mechi me nkawa nakaza..jamaa akawa ananiambia sasa tutakuaje kimahusiano kama kaka na dada?!,,,nkamwambia mm siwezi kulala na wewe... (siamini katika sex before ndoa)...akawa ananambia inabdi kwanza nizae au kama nikunioa basi niwe na mimba ila yeye hawezi uziwa mbuzi kwenye gunia...tuliendaaaaa ikafika point nkaona kabisa haya mahusiano nayalazimisha!,basi kila mtu akashika shughuli zake...

Akawa ananitafuta siku moja moja (hakutaka kuamini kweli naweza mkatalia kusex),basi tukionana hakuna jipya msimamo wangu ni ule ule..

Nkapata kazi nkapangiwa mkoa wa mbali na jamaa,,mawasiliano yetu yakaena yakawa yanafifia kabisaa..ila akawa kila akija mkoa niliopo ananitafuta (nature ya kazi yake anasafiri sana)..

Nkamwambia yaan wew siku zote huniuliziagi ila mpaka uje huku...anazuga na sababu zisizo za msingi..

Siku moja nkaona amepost picha ya mtoto (nikajua ni yule mtoto aliemkataaga),,kama vile wameelewana na yule mzazi mwenzie...basii siku aliokuja mkoa niliopo,,nkamuuliza akasema mm nmefata mtoto ila yule mwanamke sijarudiana nae...lakn yule mwanamke anacoment kabisa kwenye picha zake mara mume,mpenzi,kiboko yangu n.k....ikifika birthday ya m.ume mdada atajishughulisha cake na mazawadi kedekede...

anakuja huku nilipo anakataa hawajarudiana ila inta unaona yule mwanamke na the guy wameenda trip zanzbr na mtoto...hio siku nikanyanyua mikono juu nkasema hapa sina hata matumaini..nkawa mkali kwa jamaa nkamwambia tafadhali naomba ukija huku nilipo fanya yaliyokuleta usepe...nkawa mkali...nkafuta namba zake...akawa hata akinitext whatsapp simjibu!

sasa nkakaa kama miezi 8 au 9..nkajaribu mahusiano mengine...nafs yangu inakua ngumu kumuamini mwanaume tena!,naona uongo umezidi kiasi kwamba huyu mwanaume akanambia mm sionyeshi kumpenda na sina feelings nae (kilichoni dissapoint kwa huyu kaka ni na yeye ana watoto na hakuniambia before...)na mm nkapunguza mawasiliano na last week tukaachana kabisa..baada ya kujua ana watoto mzuka ule wa mahusiano ukafa..sitaki baby mama dramas

Nafsi yangu kusema ukweli ilimpenda sana sana sanaa huyu kaka mwengine ambae amaerudiana na baby mama wake (na hawaezi oana dini mbalimbali kabisaaaa),,...ila mwanamke sa hvi ni mjamzito anazaa mtoto mwingine baada ya miaka 8

Nafsi yangu ina maumivu makali sana jaman,nifanyaje nisahau na niweze move on?,!,yaan nmeshalia sana sana kwa Mungu wangu,kumuomba aniwezeshe nisahau jaman...

Nisaidieni wanajamvi..ni kweli kabisa siwezi pata mwanaume atakaekubali mvumilia mwanamke mpka amuoe?!,, Nahisi subira yangu ya kujitunza uanamke wangu inanishinda (Im 26 now)...,

Na pili huyu mwanaume namtoaje akilini jaman?!...

NB::: comments ntazisoma kupitia account yangu ya kawaida hapa nimemaliza...nmetumia hii ili nijimwae mwae...

Mi nina mambo mengi sana ya kukushauri lakini nitaomba nikushauri PM kama hutajali. Kama utakuwa tayari tafadhali utanijuza
 
Huyo Unayemkatalia kuna mahali Kapiga mzigo hadi kachoka, mapenzi bana unaminyaminya nyanya unapata bilinganya
 
Ni sababu kubwa tuu, vijana hapo hata hamjazoeana vizur malalamiko kibao eti mbona hupigi simu kila siku mpaka nikuanze khaaaaa inshort ni kero tupu
@Dadahuyu utakuwa wewe
Nakuja PM maana wewe ni 'zahabu'
 
Huyo Unayemkatalia kuna mahali Kapiga mzigo hadi kachoka, mapenzi bana unaminyaminya nyanya unapata bilinganya
Duuh hivi kumbe ndio alimaanisha hivi ujue kila siku nautafakari haya maneno sijawahi kuelewa
 
Duuuu unaumizwa nin SAS wengine mnatunga story, mim Nina maswali mengi jeee huyo ulimpa tunda au uligoma mpk mwisho, pili unafanya Kazi Gan?, Tatu wew ni Dini Gan? Na unataka nin kwenye mahusiano si usiache Mungu akufanyie supliz,
Hiyo dhambi ya ngono kila mtu lazima aipitie unaweza kuoa lingine halijui mambo, unajua uchungu wa Talaka wew,
 
Kubali hali mmeachana, kukubali hali inasaidia uambie moyo wako you and him ts over hakuna kingine pingana na akili yako na moyo wako kila linapokuja swala kuhusu yeye

Jichanganye na watu, jipende focus na maisha yako mtu sahihi atakupenda vile ulivyo usifos kitu ambacho kitakuja kukucost baadae sababu moyo na akili havitaki

Usipende kua alone muda mrefu jaribu kua na watu,jikeep busy jipe trips uifrahishe nafs najua kama mwanadam swala la mapenzi haliepukiki lakini utafika muda wake na mtu sahihi

Hold on Allah hasnt finished with you yet!
Madam s
Are you a madam real or beautiful single,
I like it your comment my Dear, tell me the truth
 
Duuuu thanks, Kuna Guys wanapata bahati ya kuwa na mwanamke mwenye uelewa mpna huwa nafatilia comments zako Basi tuu unavyojieleza na kumshauri mtu mim nishapenda tuu kwa Hilo ingawa sikufaham, congdurate for him
oh najikuta nakosa cha kusema

Asante mno, nimefrah kuona nimeweza kufanya mtu akapata relief ya moyo kupitia maandiko yangu kwangu naona kama sadaqa nimefanya

Ahaha asante kwa niaba yake nitafikisha salam
 
Back
Top Bottom