DA HUSTLA
JF-Expert Member
- Mar 5, 2012
- 3,904
- 4,229
Vip kuhusu kumla mtoto wa mama yako mdogo ruksaUnataka tukushauri uendelee kuzidi...??
Vip kuhusu kumla mtoto wa mama yako mdogo ruksaUnataka tukushauri uendelee kuzidi...??
Dah hii kasheshe boy ila kuna baadhi ya makabila yanaruhusu binamu kuoana bana lakini ka dingi ni nyang'au we nenda kajifanye unamwomba kujua kama yeye angekuwa hajaoa angeweza kuoa binamu?
Hapo atafunguka mengi NA utajua msimamo wake kuhusu issue hiyo kwamba yeye kama yeye angeweza enzi za ujana wake?
Akisema ndio angeweza hapo ndo ujiandae kumchana kupitia babako/mamako!!!ambao wataanzia kwa shangazi yako mke wa mjomba ako ili amfikishie ujumbe!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!¡!!!!!!!!!
Lakini akisema hasingeweza jua kabisa hatoruhusu wew kumwoa bintie pia so ukae nae mbali binamu yako.
NA kwa ushauri wa kitaalamu ni kwamba wale watoto wengi wanazaliwa NA vichwa vikubwa vimejaa maji n kutokana NA watu kuoana ndugu kwa ndugu coz ndugu wanachembechembe sawa ambazo haziwezi zalisha kitu tofauti au kukamilisha maumbile ya mtoto!!!so ndo maana watu tunaoana koo tofauti ili kuzaa watoto wakamilifu kimaumbile#Nahis unalijua hili coz limetolewa juzijuzi TU Hivi kwenye taarifa ya habari!!!!!
Oya mangarata hiv mtoto wa mamako mdogo ruksa kumgegeda?maana kuna mtoto wa mamdogo ananitega tega af kidume nshaanza kumtamanimkuu naona umetema cheche kisawia hapo lakini nataka nitofautiane na weye kuhusu watoto wa vichwa vikubwa. Hiyo "deformity" haitokani na kuoana mtu na dadake au mtu wa karibu naye. Mengi yamesemwa ila, ukweli ki kwamba, "Nyama ya binam, nyama ya ham." Haupingiki.
Ila, kwa issue ya huyu ndugu, ni kwamba, amesema mdingi wa binam ndo kamsomesha.
Nadhan ingekuwa vyema arudishe malipo kwa mjombake. Sasa, ka mjo kataka ampe bintiye maana anamwita "Mkwe" huoni anatamani waendeleze uhusiano?
Mamake ni ukoo mwingine kabisa, naye babake ni ukoo mwingine kabisa, chromosomes zao ni tofauti kabisa. Oaaaaa wala usiogope.
Oya kabanga jibu swal kuhusu mtoto wa mamdogoUnataka tukushauri uendelee kuzidi...??
Umechanganya... Ni mboo ya kalio.Nyie mnataka kuendekeza tu uzinzi kama mtaoana. Sidhan kama kikwenu inaruhusiwa. Na kama mshua wake ni mtata jiandae kupigwa risasi ya kalio
Shikilia hapo hapo kwenye utani alafu ukishaharibu ndio umwambie nilikuwa sijui mkwe wangu.Sijajua ila kuna utani ule wa dada binam, baba yake sometimes ananita Mkwe lakini katika hali ya utani tu.
wazaramu hao!Aisee kabila lenu linaruhusu muoano wa hivyo?
WAPI Waliposema Wao Ni Kabila Gani, Au Hilo Ulilolisema!!! AU Unaleta Utani Wenu, LKN Ilikuwa Ujue Kabila Yao Na Ww Wakufahamu Pia!! NDIO Utani Upewe Nafasi!!!!wazaramu hao!
Makabila gani yanayoruhusu kuoa binamu?????!!!!!
derojay east africa
@
Mfano kabila la waha kigoma wanuruhusu, na makabila ya kule tanga unaoa vizuri tu bila shidaMakabila gani yanayoruhusu kuoa binamu?????!!!!!
derojay east africa
@
unatafuna siku moja moja kwa kuwa ni muislam au kwa kuwa ni binam yako? su yote mawili?Kama ww mwislam din inaruhusu wala haina shida mm mwenyewe yupo binam yangu natafuna mara mojamoja
buha inaruhusiwa mtoto wa shangazi kuoa kwa mjomba na sio mtoto wa mjomba kuoa kwa shangazi. hata hivyo kesi zipo chache sana.Mfano kabila la waha kigoma wanuruhusu, na makabila ya kule tanga unaoa vizuri tu bila shida
Oya mangarata hiv mtoto wa mamako mdogo ruksa kumgegeda?maana kuna mtoto wa mamdogo ananitega tega af kidume nshaanza kumtamani
Kwahiyo braza dito ushamchapa nao?Habari zenu wanajamvi,
Nimeleta issue yangu hapa mnisaidie kunishauri.
Dada yangu binamu, mtoto wa shangazi yangu, anataka nifunge nae ndoa, yaani tuwe Mr & Mrs.
Nimejaribu kumkwepa kwa kumuwekea mitego mbalimbali kumpima kama kweli anataka tuwe wapenzi, moja ya mtego huo nilimwambia kuna rafiki yake nampenda hivyo ajenae home ili nipate mteremko wa kuongea nae, basi binamu alinitukana, akalia sana mpaka akasusa kula na kuongea na mimi. Nilichoamua ili kumpooza nikamwambia nakutania tu. Ndio akarudi kwenye hali ya kawaida.
Ugumu unakuja kwenye kufikisha ujumbe kwa wazazi wake, namwambia aongee na baba yake kama anataka kuolewa na mimi, anaogopa sababu dingi yake mtata, halafu ndio mjanja wangu hapa mjini, amenisaidia kunisomesha hadi chuo kikuu na kunisaidia kupata kazi.
Yeye anachotaka tufanye nimpe ujauzito, halafu mambo mengine mbele kwa mbele.
Kwa jinsi anavyo nijali na kunipenda, mimi mwenyewe nimeingia line, yaani network inasoma full, madave dave.
Je! Nisawa kutebmea binamu yangu?
Vipi ikijulikana mimi ndio niliempa mimba?
Ipi njia sahihi kwangu kufikisha ujumbe kwa wazee?
kupanga ni kuchagua