Mama yako damu zinaingiliana? Mtoto wa shangazi unaoa coz sio damu yenu damu yenu ni shangazi tu mtoto wake ni damu nyingine hivyo hivyo mjomba sio damu yenuKitaalmu haifai utazaa Watoto wadumavu na matizo ya akili ,
Hiyo haifai hata kwa wanyama usijaribu Kama kweli huyo mjomba ni kaka wa Damu wa mama yako .
Hahaha...mkuu!!!Shikilia hapo hapo kwenye utani alafu ukishaharibu ndio umwambie nilikuwa sijui mkwe wangu.
Hivi ukishaoa, shangazi humuiti tena unamuita mamamkwe? Au unaunganisha shangazi mamamkwe?Mama yako damu zinaingiliana? Mtoto wa shangazi unaoa coz sio damu yenu damu yenu ni shangazi tu mtoto wake ni damu nyingine hivyo hivyo mjomba sio damu yenu
Huwezi vunja undugu na shangazi ukioa mtoto wake au mjomba jina utalomwita ni sawa but kuoa binamu ni sawa kwani mtoto wa shangazi yako au mjomba wako sio ndugu yakoHivi ukishaoa, shangazi humuiti tena unamuita mamamkwe? Au unaunganisha shangazi mamamkwe?
Undugu unavunjwa?
We kafiri tu.Kama ww mwislam din inaruhusu wala haina shida mm mwenyewe yupo binam yangu natafuna mara mojamoja