Nyie mnataka kuendekeza tu uzinzi kama mtaoana. Sidhan kama kikwenu inaruhusiwa. Na kama mshua wake ni mtata jiandae kupigwa risasi ya kalio
Mkuu unafikiri kwa jinsi alivyopost hata hizo nguvu za kukimbia kama hussein bolt anazo??? Huyo ana nguvu kumlalia tu na si za kumkimbiaNo offense...acha ubwege mkuu...that man (the father) trusted you...welcomed you into his home. amekusomesha na kazi juu, may be hiyo pesa angetumia kwenye mambo mengine muhimu. And how did you repay his generosity? kumtia mwanae?. You disrespected him and his family man. Stay away...it seems you're controlled na huyo mchuchu...kimbia kama husein bolt asee
R.i.p ditopile