Dada yangu anataka tufunge ndoa

Dada yangu anataka tufunge ndoa

Mtu ni ahukumiwe kutokana na tabia zake binafsi wala sio rangi.
 
Kitaalmu haifai utazaa Watoto wadumavu na matizo ya akili ,
Hiyo haifai hata kwa wanyama usijaribu Kama kweli huyo mjomba ni kaka wa Damu wa mama yako .
 
Dah hii kasheshe boy ila kuna baadhi ya makabila yanaruhusu binamu kuoana bana lakini ka dingi ni nyang'au we nenda kajifanye unamwomba kujua kama yeye angekuwa hajaoa angeweza kuoa binamu?

Hapo atafunguka mengi NA utajua msimamo wake kuhusu issue hiyo kwamba yeye kama yeye angeweza enzi za ujana wake?

Akisema ndio angeweza hapo ndo ujiandae kumchana kupitia babako/mamako!!!ambao wataanzia kwa shangazi yako mke wa mjomba ako ili amfikishie ujumbe!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!¡!!!!!!!!!

Lakini akisema hasingeweza jua kabisa hatoruhusu wew kumwoa bintie pia so ukae nae mbali binamu yako.


NA kwa ushauri wa kitaalamu ni kwamba wale watoto wengi wanazaliwa NA vichwa vikubwa vimejaa maji n kutokana NA watu kuoana ndugu kwa ndugu coz ndugu wanachembechembe sawa ambazo haziwezi zalisha kitu tofauti au kukamilisha maumbile ya mtoto!!!so ndo maana watu tunaoana koo tofauti ili kuzaa watoto wakamilifu kimaumbile#Nahis unalijua hili coz limetolewa juzijuzi TU Hivi kwenye taarifa ya habari!!!!!
 
Kitaalmu haifai utazaa Watoto wadumavu na matizo ya akili ,
Hiyo haifai hata kwa wanyama usijaribu Kama kweli huyo mjomba ni kaka wa Damu wa mama yako .
Not necessarily,It is just a probability;kama ambavyo unaweza kuoa ambae siyo ndugu yako-wewe ukawa na recessive deffective genes za trait flani nae akawa nazo mkacombine mkapata dominant deffect,pia kwenye kizazi chenu kunaweza kusiwe na genetic diseases zile za hatari-hapa namaanisha kama unataka kuchukua precaution ya genetic diseases basi isiishie kwenye kuoa au kuolewa na ndugu tu bali umakini ni hata kwa watu wa mbali,ndio mana mababu zetu zamani walikuwa wanafatilia hivi vitu prior to marriage(walikuwa wanaact kisayansi bila kujijua.)
 
KAMA WAZAZI WAKE WANAKUITA MKWE JUA UMESHAPEWA BARAKA MALIZIA TU
 
Haya mambo mtafute mtu anaitwa brenda18 ana ekspiriensi. Aliwai kumkula denda cousin wake vichakani. We mtafute akupe link ya uzi wake huo
 
kwanini unaendekeza kupenda ndugu
 
Akili kubwa ikiongozwa na akili ndogo shida sana...
 
pole ndugu yangu unaomba ushauli kuoa ndugu yako! wazazi wenu si ni familia moja hao! iyo dini yenu duu! aya ndio dunia tena!
 
We mtoa mada nadhani unatumia boo kufikria badala ya kutumia akili
 
Kama ww mwislam din inaruhusu wala haina shida mm mwenyewe yupo binam yangu natafuna mara mojamoja
Kutafuna bila ndoa hairuhusiwi ndugu labda umejiruhusu ila kuoa swadakta ingawa kiafrika zaidi ndugu huogopa kuoana sababu matatizo ya ndoa wengi tunayafahamu badala ya kujenga udugu mnajikuta mnafarikiana pindi ndoa ikiyumba na kila mzazi akachukua upande wa mwanae ingawa ni jambo linalowezekana kama wazazi watachukua haki suluhu inapatikana.
 
Back
Top Bottom