Lusajo11
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 1,887
- 1,970
Haha,umenichanganya bestie,sijawahi kuweka uzi ka huo...
Hee! Kumbe nimekusingizia? Pole
Haha,umenichanganya bestie,sijawahi kuweka uzi ka huo...
Kama wewe ni muislam basi muoe tu ,sila usimchezee na kumwacha. INSH'ALLAH
Zanzibar ndio wanaita mtoto wa Ami sio.....Ndoa ya aina hii znz ni kawaida sana
Asilimia kubwa kweli kabisa,ukioa mtu mwingine kua na genes zenye shida wote ni coincidence ila ukioa ndugu ni must.usioe nduguNot necessarily,It is just a probability;kama ambavyo unaweza kuoa ambae siyo ndugu yako-wewe ukawa na recessive deffective genes za trait flani nae akawa nazo mkacombine mkapata dominant deffect,pia kwenye kizazi chenu kunaweza kusiwe na genetic diseases zile za hatari-hapa namaanisha kama unataka kuchukua precaution ya genetic diseases basi isiishie kwenye kuoa au kuolewa na ndugu tu bali umakini ni hata kwa watu wa mbali,ndio mana mababu zetu zamani walikuwa wanafatilia hivi vitu prior to marriage(walikuwa wanaact kisayansi bila kujijua.)
Baba mkwe bhana, mpaka Leo bado mtata !!!! Wakati wa ujana wako c ulikiwa balaaa!!?Ujajua tena? Kama linaruhusu oaneni kama haliruhusu kaa pembeni na huyo baba kwann anakuita hivo usikute anajua kinachoendelea Sema uoga wenu tu.... Nawe mtanie umsikie atasemaje