Mijadala Migumu
JF-Expert Member
- Apr 17, 2022
- 397
- 454
Dada yangu anapitia kipindi kigumu anaomba ushauri wenu waungwana. Ana mume na wamejaliwa mtoto mmoja.
Dada ameajiliwa sekta binafsi mshahara wake ni wakaida sana, Mumewe kwasasa amepunguzwa kazini hivyo ni jobless.
Sasa Changamoto ni kwamba huko kazini Bosi anamtaka Dada kimapenzi, anamsumbua sana kashamwambia ana mume na mtoto lakini Bosi haelewi, kiasi imefikia mpaka Dada anaichukia kazi yake.
Dada anampenda sana Mumewe hataki kumsaliti, na kazi yake anaipenda pia ukizingatia ajira zilivyo ngumu kupata, anahofia kuacha kazi. Hivyo anapitia wakati mgumu sana tunaomba ushauri wenu waungwana.
Dada ameajiliwa sekta binafsi mshahara wake ni wakaida sana, Mumewe kwasasa amepunguzwa kazini hivyo ni jobless.
Sasa Changamoto ni kwamba huko kazini Bosi anamtaka Dada kimapenzi, anamsumbua sana kashamwambia ana mume na mtoto lakini Bosi haelewi, kiasi imefikia mpaka Dada anaichukia kazi yake.
Dada anampenda sana Mumewe hataki kumsaliti, na kazi yake anaipenda pia ukizingatia ajira zilivyo ngumu kupata, anahofia kuacha kazi. Hivyo anapitia wakati mgumu sana tunaomba ushauri wenu waungwana.