Dada wa mjini...

Dada wa mjini...

Natunatakiwa tukae karibu ya dhambi ili tuishinde😉😉
😒😒😒 ngumu hii mzee. Mungu anatupenda atuwezesha tu maana mie siwezi.. mambo yenyewe kama haya kwelii.. mbona mazito sanaa
7BF27C85-CC4A-4FF6-916E-EBC0306D54AD.jpeg
 
Hana thamani wakati akiwekwa katikati ya wanaume kamili lazima agombaniwe kama pesa?

Kwanza hapo umemeza mafundo kadhaa ya mate sema tu ukaamua kujisemea kama sungura

Sizitaki mbivu hizi
Ninaheshimu mawazo yako, hayo ni mawazo yako.
Kugombania mwanamke;
1. Usiyemjua
2. Hujui afya yake
Huu ni ufala plus udomo zege.
Ninaweza kutongoza nimtakaye na hata angeniita anipe bure simgusi..
Hii ni torati yangu " sili mzoga bali mawindo yangu"
 
Ninaheshimu mawazo yako, hayo ni mawazo yako.
Kugombania mwanamke;
1. Usiyemjua
2. Hujui afya yake
Huu ni ufala plus udomo zege.
Ninaweza kutongoza nimtakaye na hata angeniita anipe bure simgusi..
Hii ni torati yangu " sili mzoga bali mawindo yangu"
Kale katamaa ka kiume Mungu hakukaweka ndani yako?
 
Kale katamaa ka kiume Mungu hakukaweka ndani yako?
Ninatamani lakini nina aina ya niitakayo, mwanamke anapofikia kutojiheshimu kiasi hicho amepitia mengi na mb..oo nyingi, haoni thamani ya mwili wake tena yaani papuch, hiyo tunaita fungulia mbwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom