Ukatili wa KIMAJINA, huwezi kukaa na ndugu miaka miwili hujui jina lake huo ni UKATILI kabisa, kumbuka huyo ni sehemu ya familia yenu.Nakushauri umpandishe mkeo cheo, alafu umuoe mdada wa kazi awe 2nd wife.
Mimi tuna msaidizi hapa nyumbani, huu ni mwaka wa pili sijawahi hata kujua jinalake
Sasa nimjue jina la nini wakati mke yupo..?? Kubwa huwa natoa muongozo aongezewe mshahara kila baada ya miezi sita.Ukatili wa KIMAJINA, huwezi kukaa na ndugu miaka miwili hujui jina lake huo ni UKATILI kabisa, kumbuka huyo ni sehemu ya familia yenu.
Akawa miyeyusho kivipi mkuu?Jinsi tulivyo tukiamua kuchepuka hua tunatafuta vijisababu vidogo vidogo ili tuchepuke.
Sasa mtu kujua kuandaa chai au maji ya kuoga ni swala? Si ndiyo kilichomketa hapo?
Nimeishi na wadada wa kazi pia. Huo ni moto wa mwanzoni mwanzoni kuna mmoja alikua anaamka saa kumi alfajiri yaani nikiamka saa 12 nakuta usafi na chai tayari ni kwenda kutafuta vitafunwa tu.
Baadaye akawa miyeyusho
Mwache.....Jinsi tulivyo tukiamua kuchepuka hua tunatafuta vijisababu vidogo vidogo ili tuchepuke.
Sasa mtu kujua kuandaa chai au maji ya kuoga ni swala? Si ndiyo kilichomketa hapo?
Nimeishi na wadada wa kazi pia. Huo ni moto wa mwanzoni mwanzoni kuna mmoja alikua anaamka saa kumi alfajiri yaani nikiamka saa 12 nakuta usafi na chai tayari ni kwenda kutafuta vitafunwa tu.
Baadaye akawa miyeyusho
Cha ajabu wafanyakaz wa ofisni kwako wote unawajua majina ila anayewalea watoto wako na kuhakikisha ulinzi wako unakwepa kujua jina lake, subiri mwanao apate utapiamlo utajua jina lake hadi ukoo wao.Sasa nimjue jina la nini wakati mke yupo..?? Kubwa huwa natoa muongozo aongezewe mshahara kila baada ya miezi sita.
Na hakuna sehem mimi na msaidizi tunaweza tuka mingle
Nimesha kujibu kwamba sina haja wala sababu ya kumjuajua msaidizi.Cha ajabu wafanyakaz wa ofisni kwako wote unawajua majina ila anayewalea watoto wako na kuhakikisha ulinzi wako unakwepa kujua jina lake, subiri mwanao apate utapiamlo utajua jina lake hadi ukoo wao.
Sawa lakini labda mimi mshamba najua mkewangu anapswa kunihudumia hivyo vyote.Wewe bado maskini tafuta nyumba lenye shower humo ndani kubebewa maji na kuwekewa maji kumepitwa na wakati, pia uache uvivu Yani kujikorogea chai Iko mezani mpaka uletewe acha uvivu aisee
Sina nia ya kugonga nitavuruga nyumba lakini naona ana care zaidi ya mama watoto.Si ndo kazi mliyomuajiri nayo ili mkeo apumzike.
We Kama unataka kugonga gonga tu.
Huyo kaja amefundwa kupindua meza. We muendekeze! Mahg wengine wako very strategic kwenye kupandishwa cheo!Dada anajua majukumu yake kumzidi wife
Watu bwana.unasema nitafute pesa unayajua maisha yangu? Kama huna wazo pita kimya tuu siyo lazima kusema.Tafuta pesa wewe uache kuandika 'sredi' za namna hii...
Mtu anayetafuta pesa hawezi pata muda wa kuchunguza mambo anayofanya house maid na kuja kuandika utopolo kama huu...
"Mdada wa kazi anafanya kazi kumzidi mke wangu", so what???
IpiHauna shukurani!
Siye wengine kuwekewa maji ya kuoga kawaida sana ndo maisha yetu.Endelea kuona tofauti.
Tutakuwapo hapa hapa kukushauri.
Ila mambo ya kuwekeana maji ya kuoga yashapitwa na wakati...jitahidi uondokane nalo.