Flano
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 4,871
- 13,061
Daaaahhhh yaani mtu anaonyesha bidii na kujituma kwenye kazi yake ili apate rizki yake halafu wewe unashauri amuondoe(amfukuze) kazi ni haki kweli?Usiingie kwenye huo mtego. Mwondoe haraka sana utafute ambaye atatekeleza maelekezo ya bosi wake (mkeo) bila kuzidisha au kupunguza.
Asithubutu kuizidi huduma ya mkeo kwa namna yoyote. Kuhusu kukuhudumia wewe, apigwe marufuku, na afanye hivyo kama akitumwa.
Naamini utauelewa ushauri wangu.
Unajua katika huo mshahara anaoupata kuna watu wangapi nyuma yake wanamtegemea?
Hapo kwa ushauri wangu ni bora amuongezee mshahara ili kumpa molari zaidi kwenye kazi na kumfanya aone jitihada yake inathaminiwa.