Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 9,558
- 15,897
Habari za weekend!
Kama ilivyoa ada. Mimi ni mtu mzima kiasi nina mke na watoto wawili. Nyumbani mke wangu anajituma si kwamba ni mvivu la hasha. Anafanya mambo yote kama mke. Lakini kuna jambo moja linanishangaza, hivi karibuni tumepata msichana wa kazi hana muda mrefu ni kama miezi miwili lakini tangu amefika nimeona mabadiliko ya ghafla sana.
1. Haambiwi kitu huwa anafanya kabla hujamuuliza mf. nimezoea kumwambia mke wangu nitayarishie maji ya kuoga. Yeye kabla hujasema unakuta tayari ameshaandaa.
2. Hasubiri nimwambie nataka chai au chakula nikitoka tuu kama ni asubuhi tayari ameshaniandalia chai mezani hivyo hivyo nikirudi nyumbani ananiwekea chakula mezani. Mke wangu mpaka nimwambie. Nimeona tofauti kubwa sana ya mkewangu na huyu dada wa kazi.
Ni hayo tuu.
Kama ilivyoa ada. Mimi ni mtu mzima kiasi nina mke na watoto wawili. Nyumbani mke wangu anajituma si kwamba ni mvivu la hasha. Anafanya mambo yote kama mke. Lakini kuna jambo moja linanishangaza, hivi karibuni tumepata msichana wa kazi hana muda mrefu ni kama miezi miwili lakini tangu amefika nimeona mabadiliko ya ghafla sana.
1. Haambiwi kitu huwa anafanya kabla hujamuuliza mf. nimezoea kumwambia mke wangu nitayarishie maji ya kuoga. Yeye kabla hujasema unakuta tayari ameshaandaa.
2. Hasubiri nimwambie nataka chai au chakula nikitoka tuu kama ni asubuhi tayari ameshaniandalia chai mezani hivyo hivyo nikirudi nyumbani ananiwekea chakula mezani. Mke wangu mpaka nimwambie. Nimeona tofauti kubwa sana ya mkewangu na huyu dada wa kazi.
Ni hayo tuu.