Dada wa kazi akivaa hivi vipi?

Dada wa kazi akivaa hivi vipi?

Jamani msiisambaze hii picha inawezekana huyu ni mtu anayejiheshimu au mke wa mtu ila rafiki yake mbaya kampiga picha bila ya ridhaa yake na kuirusha

Anafanana sana na yule dada ambaye ndoa yake iliota mbawa juzi juzi!
 
Sijaona tatizo hapo maana si kila mtu anajidai kwenye eneo lake la kazi? Ukeinda uwanjani utawakuta wanavyosakata kabumbu, ukienda barabarani utamkuta Traffic na mbwembwe zake, ukienda hospitali utamkuta hata Nurse anajiita Dokta na kukupa misamiati kibao ili akuchanganye tu, ukienda shuleni ndio usiseme...............ukeinda Bungeni hahahahahhaaaaa utaumwa mbavu
 
Weka mbali kama pembe na meno ua tembo wetu.
 
Ooo my beki 3 usivae hivi wanangu bado wadogo.usije ukampeperusha ndege wangu
 
Mimi nazani tuanze utaratibu wakuwapima HIV kwa lazima hawa hg. Wanawaambukiza UKIMWI kwa makusudi watoto wetu.
 
Pigaaaaah...kwani housegal sio demu. PUmbafu...pigaaa!!

Sent from Samsung Note III using Tapatalk
 
View attachment 161475

Mada nyingine zinajadilika lakini hazisomeki kwa maudhui yenye kujenga ukweli. Hii picha ni ya mama mwenye nyumba au mke wa mtu. Mwenye kuleta mada alikoitohoa anajua lakini kabadilisha maudhui yake kuibatiza ya housegirl.
 
Hapo lazima ule mzigo vinginevyo utaiacha nafsi ikihuzunika buree.
 
Huyo atavaa hivyo kwenye nyumba ya nani?
 
Back
Top Bottom