Dada wa kazi akivaa hivi vipi?

Dada wa kazi akivaa hivi vipi?

Hata aje analia siwezi kumpa kazi maana nitaibiwa mume mchana kweupe
 
Ivi kuna mwanaume ambae hajawahi kula housegirl kweli..?
 
Hawa wadada hayawani sana. Kuna jirani yetu alikuwa na mtoto wakiume wa darasa la tano hivi. Yule hg alikuwa anajifanyia self service kwa yule mtoto. Pia kwetu kuna madogo wanafundishwa kugegeda na hawa hg. Tusipokuwa makini watoto wetu wanaharibiwa.

hii tabia wanayo sana, kuna HG wa jirani yetu alikuwa na ukimwi, na dogo aliyekuwa anamchomeka ndani na yeye sasa anatumia ARVs, dogo alikuwa darasa la tano wakati yule HG anaanza kazi. Baada ya miaka miwili HG hali ikawa haieleweki, kwenda kumpima wakakuta ana HIV, wakamrudisha kwao lakini dogo tayari alikuwa keshaambukizwa.
 
jaman huyu m nmemaliza nae SAUT 2008 anafanya kazi ubaloz wa marekan..sio housegal
 
Siku hizi wanawake wanajisahau sana,ndoa nyingi zimepatwa na matatizo ya mapinduzi yasiyomwaga damu ya ndoa baada ya wanawake kujisahau na kuwaachia wadada wa kazi majukumu yote ya ndani ya nyumba,unadhani ni baba gani ambaye atakubali kuona kila kitu kinafanywa ndani ya nyumba na mdada wa kazi na asithamini mchango wake?Mbaya zaidi ikifikia dada wa kazi ana sura na shepu nzuri aaah!hapo lazima aliwe tu
 
Back
Top Bottom