Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 20,675
- 71,477
Kabisaaaaaaa kakimbia umande
Kabisaaaaaaa kakimbia umande
Yani mbeba zege anaipata laki 7 yake netKWELI KABISA KWA HIYO HELA HATA MHASIBU WA BENKI HAPATI HATA MWALIMU WA DEGREE HAPATI
Teh teh teh. Hiji jini mnaweza mkachati nalo hadi mkabadilishana mawazo?Watanzani wengi wanapenda kudanganywa
Mambo ya uzushi
Ukisema ukweli ni taabu kwao.
Hakupiga hesabu kweli,tena yake haina makato ya bodi ya makopo n.k25,000×7 =175,000 per week
175,000 ×4 =700,000 per month
Atakua hakupiga hesabu
25,000 kwa siku alichukulia za sport sportHakupiga hesabu kweli,tena yake haina makato ya bodi ya makopo n.k
I hate youMbeba zege?
Ameogopa ukirudi home na mijasho yako unanuka kama beberu.
Do I like you?I hate you
James chase alikuwa na kitabu chake akisema you never know with women nilimuelewa sana kipo humu penye uzi wa chase kitafuteHIVI ILI UISHI NA MWANAMKE UNATAKIWA UWE UNAPATA BEI GANI? HAPO NDIPO SIELEWI WANAWAKE WANATAKA KITU GANI HASWA KAMA MTU ANAPATA 25000 KWA SIKU MARA SIKU 30 ANATOFAUTI GANI NA DAKTARI WA MUHIMBILI/LOAN OFFICER/AFISA BIASHARA HALMASHAURI DAAH! KWELI WANAWAKE VIPOFU
Uwe unapitia sehemu kwanza upige mng'ao na nguo ubadilishe kabisa.Mi mwendesha GUTA, utanikubali nikija jamani?.... teh teh..
25,000×7 =175,000 per week
175,000 ×4 =700,000 per month
Atakua hakupiga hesabu
Kama inavyofanya CCM eeh?Watanzani wengi wanapenda kudanganywa
Mambo ya uzushi
Ukisema ukweli ni taabu kwao.
Ccm inakujaje kwenye mada hii!!Kama inavyofanya CCM eeh?
Huoni wanavyo wadanganya wananchi?Ccm inakujaje kwenye mada hii!!
Hakuna anaye danganywaHuoni wanavyo wadanganya wananchi?