Dada wa JamiiForums hajibu PM zangu tena baada ya kumuambia kazi yangu kubeba zege

Jifunze kusema uongo. Hawa viumbe bila uongo ni ngumu sana kukuelewa, ila uongo usizidi sana.
 
Imekuwa vizuri umemjua tabia yake mapema, kuliko ungekuwa nae na kuumia kichwa kwenye safari ya mapenzi. Kubali matokeo
 
49420.jpg

Avi yako pia inaweza kuwa imechangia.
kwa kweli tehe tehe tehe
 
Nj
Nakumbuka mwezi wa 4 mwaka huu katika pitapita zangu hapa jf nikakutana na bandiko la mdada mmoja anatafta mwenza wa maisha akaweka vigezo vyake vyote na mwishoni akasema awe mchapakazi,basi mwanaume nikamfuata hadi PM tukaanza mazungumzo yetu vizuri na vigezo vyake vyote ninavyo,ndipo akaniuliza unafanyakazi gani nikamjibu mie ni mbeba zege kwa siku naingiza 25000 basi toka siku ile mpaka leo hajibu PM zangu sijajua sababu ni nn wakati tulishaongea vzr mwanzoni
njoo kwangu ila usiwe mgumu kushaurika
 
Nakumbuka mwezi wa 4 mwaka huu katika pitapita zangu hapa jf nikakutana na bandiko la mdada mmoja anatafta mwenza wa maisha akaweka vigezo vyake vyote na mwishoni akasema awe mchapakazi,basi mwanaume nikamfuata hadi PM tukaanza mazungumzo yetu vizuri na vigezo vyake vyote ninavyo,ndipo akaniuliza unafanyakazi gani nikamjibu mie ni mbeba zege kwa siku naingiza 25000 basi toka siku ile mpaka leo hajibu PM zangu sijajua sababu ni nn wakati tulishaongea vzr mwanzoni
Utamwambiaje mwanamke ukweli?
 
mm sijisifiagi najishusha siku akiniona huwa awaaminigi sababu nilivyomwambia ni tofauti na nilivyo
 
Nakumbuka mwezi wa 4 mwaka huu katika pitapita zangu hapa jf nikakutana na bandiko la mdada mmoja anatafta mwenza wa maisha akaweka vigezo vyake vyote na mwishoni akasema awe mchapakazi,basi mwanaume nikamfuata hadi PM tukaanza mazungumzo yetu vizuri na vigezo vyake vyote ninavyo,ndipo akaniuliza unafanyakazi gani nikamjibu mie ni mbeba zege kwa siku naingiza 25000 basi toka siku ile mpaka leo hajibu PM zangu sijajua sababu ni nn wakati tulishaongea vzr mwanzoni
Kama hujui sababu basi hii hapa
891089fa2b9cfe8bea23b6979e033187.jpg
uliongopa! Hukutakiwa kufanya hivyo in the first place...watu huchunguza
 
Umewahi sana kumwambia ukweli,wenzio hatuendi hivyo! Hawa wa sasa ukijifanya hujui kuongopa utasota sana mkuu...
 
Hahahaaaa!!labda ungemwambia we unabeba box angeeza kukuelewa.
 
Watanzani wengi wanapenda kudanganywa
Mambo ya uzushi
Ukisema ukweli ni taabu kwao.
Kwani hata hivyo ni mbeba zege? Alikuwa anampima kama anaweza kuwa ni mult purpose.
Ujue nini, demu anatakiwa awe mnyumbulifu. Aweze kuishi maisha ya aina yoyote hata yale yanayohitaji uvumilivu mkubwa.
Lakini mwanamke anayependa maisha mteremko. Yaani akute umeshavieneza, majumba, akaunti nono, miradi mikubwamikubwa bila ya yeye kuhangaika kwa jasho lake, basi mwanamke wa namna hiyo hafai hata kwa kulumangilia.
 

Similar Discussions

3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom