Dada una sura nzurii.....

Dada una sura nzurii.....

Ingawa ni mtu mzima kiukweli sio kwamba u-mbaya kivile ila upo fresh
 
Kasie tupe siri ya hizo natural hair..ziko vizuri.(if they are)

Ni kweli ziko natural. Sina special treatment ni kuwa naepuka style zinazokata nywele na mara nyingi naziosha mwenyewe nyumbani. Msusi ninaye mmoja anayenisuka bila kuvuta nywele.
Niko simple tuu.
 
View attachment 702207 Kasie Mahaba.

Habari zenyuu,

Ndo naingia home hapa SA hooii,sasa nikiwa migration section pale airport iki nigongewe kuwa nimerudi nchini salama, nikamkabidhi passport yangu (aliyekuwa ananihudumia ni mdada).

Baada ya kuniuliza maswali kadhaa akaniambia niangalie camera, weka finger prints akagonga muhuri kwenye passport halafu akafungua ukurasa wenye taarifa zangu kuangalia mwaka wangu wa kuzaliwa na nilivyo..

Akanitazamaaa huku akiwa ameshikilia passport yangu kwa sekunde kadhaa. Aka tabasamu huku akisema.. Dada una sura nzuri. Sikutegemea usemi ule hasa kutoka kwa mdada. Nikajikuta natabasamu kuanzia pale nia nzima hadi home. Nikamwambia asante kisha nikachukua passport yangu huyo nikakamata Gautren hadi Sandton kisha nikachukua uber hadi home.

Njiani nikawa najiuliza..... kwani huyu dada kaniambia nina sura nzuri.....

Update:

Mara nyingi watu husema wadada ni ngumu sana kusifiana yaani huwa tunaoneana wivu. Lakini huyu dada kwa tabasamu alilotoa niliona alimaanisha kunisifia aidha kwa kulinganisha umri na sura akaona sura bado ina ahueni japo umri umeenda.

Najua wako ambao wanasifia kwa unafiki ile mtu anakwambia Umependeza wakati uko kama kituo. Kama kawaida yangu nilikuwa kawaida tuu sikuwa na makeup yoyote usoni zaidi ya lipstick na wanja. Huyu dada sifa yake haikuwa ya kinafiki tabasamu lake lilisema yote.

Kingine nikaona kuwa kweli wadada tunalewa sifa, wallah angekuwa mkaka ndo kanisifia ningempa namba yangu ya simu hehehehe.

Sio siri wadada tunasikia raha sana tukisifiwa hasa sifa ikiwa ya ukweli.... yaani hadi sasa kila nikiwaza natabasamu.

Kasie Kiuso hehehehehe.

Heeey, sijaweka huu uzi kujisifia bali nimeelezea kilichotokea. This pic below is real Kasie ..... nimeipiga lini jibu kwenye mabano hehehehhe

View attachment 702209

Kasie Mahaba.
Kweli una sura nzuri sijui sasa kama umbo linaendana na sura
 
Kweli una sura nzuri sijui sasa kama umbo linaendana na sura

Hehehhee shepu hamna ndugu nina pasi bin flani ya Sony wega nyuma. Basi hakuna kingine zaidi.
 
Hahahaa assnte rafiki, mwenzako nina allergy sana na umri, hivo nisamehe tuu ukubalianena hali halisi. Ntastaafu na wazee wenzangu.
Basi bana wacha wakubwa wafaidi ,, japo roho inaniuma ntafanya nn asa...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom