Haya fursa hiyo,niwahi kabla sijapata frustration za life.Hahahahaa zombi, sura sio issue kwa Kasie. ... vacation ndo mpango mzima.
nakusubiria KASIE mahaba bin mahabatBasi usijali, vuta subira ntakutumiapo kwa PM.
Salam zilifika, anasema amekukumbuka sana. Pia kuna wimbo ulikuwa kama dedication, aliniambia nikwambie uuskilize. Bahati mbaya nimeusahau kidogo.Abeeh Analyse. ......
Ulifikisha salamu zangu?
We mnyamwezi unaleta taabu sana wakati mwingine tupumzishe- ge bas japo aaaaarrrrrrrrrgh!
Wa sameHaiyee, nni hiyoo?!! Uu mwathuu wahii???
Salam zilifika, anasema amekukumbuka sana. Pia kuna wimbo ulikuwa kama dedication, aliniambia nikwambie uuskilize. Bahati mbaya nimeusahau kidogo.
Ngoja nitamuuliza tena. Nakumbuka ni wimbo wa zamani kidogo, umeimbwa na Celine Dion .. Sema jina ndio limenitoka. But usijali, ntakutajia badae.Jamanii kamuulize tena ni.wimno gani, I like musics please mwambie nampa kumbato motomoto na tabasamu mwanana lenye bashasha tele. I really missed you, how are you lakini? Am happy to see you here.
Haha hethina mburi vyenekuitika. Utuima kini ukoHarikaa, wakedhije wa kaya, kunu turevedii.