Dada una sura nzurii.....

Dada una sura nzurii.....

uko vizuri kiukweliiii...ningekuwa karbu na ww ningekuambia neno ili....?
 
Haya ngoja mi nihitimishe. Casie Nipm basi bibie nami nikusalimie peke yangu roho itulie. Caution: hiyo unayoiona ktk avatar ndio Sura yangu Halisi.
 
weka picha ya aliyekusifia.....tuanzie hapo....halafu unaonekana ni dizaini ya wale vibonge vibonge kila kitu kimeungana....tehe tehe..ila mnakuwaga na huruma na mapenzi sana nyie ndicho kinachowakosti..........

Umepatia kila kitu, umejuaje wewe? !!!
 
Asikuchanganye huyo, kwa picha yako hapo juu wewe ni mzuri mashalaa!

Nashukuru kwa kunisifia umeniongezea tabasamu. Kusifiwa kizuri jamani yaani ujasiri unaongezeka na mikogo juu hehehehe shida tuu ndo umri ushatutupa mkono.
 
Kuna mada iliwahi kuletwa humu na mwanamke akidai amekitana na mwanamke mwenzie pahala fulani hawafahamiani wala nini lakini alimtamani ile mbaya ikafikia hatua ya kutamani angekuwa na uwezo wa kujiotesha ubor amdinye nao. Huenda nae huyo kakutamani Kasie matata toto la konyamwezi hahahaa

Nami nilikua na wazo kama hili. Maana SA wadada wanaoana. Nina hakika alikutamani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom