Zero Hours
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 12,942
- 18,691
Ulipie na tangazo
Acha bhana!
Mwanamke mtu mzima anaelekea kwenye 50' zake, kuwa na babyface namna hiyo ni majaaliwa yakhe.
Wengi wenye umri wake, sura zao zilikwishakuchuma kunde tayari.
Huyo anajitunza, anafanya mazoezi na hana matumizi mabaya ya mwili wake zaidi ya sex, diet na love kwa raha na afya.
Kwanini akongoroke!
Wenziyo zaidi ya wawili ukisikia wakisifia kwamba fulani ni mzuri,waunge mkono kwa kusema 'ndiyo afande', maana saazingine jicho lako laweza kuwa na husda, linakunyima ushirikiano kwa kuuona uzuri (urembo) wa huyo dada mtu mzima.
Uko sawa kabisa, macho yake si yako. Mke mwenyewe alinishangaza ila kwa kuwa wadada huwa tunasikia raha kusifiwa..... basi alinipa tabasamu mwanana usoni.
Lo!Sawa ila Narudia tena, hata kama ana miaka 50 sioni uzuri wake. Yaani niunge tu mkono, kisa?



Mahaba bila chura ni sawa na pilau bila kachumbari!Hehehehehee looh chura anavoruka ruka mtoni maji hayachoti kazi kuyatibua. .. sina hata hamu nayo.
Basi acha nibaki na bakulutu wangu nyie dot com endeleeni kurukishwa kichurachura.



Yaani acha kabisa. Sina hoja ya kupinga hoja yako.Hata avatar yako inadhihirisha usemacho..... ni kweli kabisa.
Kila mtu na ulevi wake. Ila mkuu wewe ulevi wako ni kiboko.Sura ipo tatizo huna chura!!!![]()
It's Crazy indeed but sweet.Woow.... yaani.....
Angelina kuja hapa hata aweke nukta tuu loooh
Saa ingine wanawake sijui tunakuwaje. .... yaani unakuwa na hisia na mtu kiasi kwamba hata ukikaa nae mkiwa mnapata chai ya jioni uwe unamtizama tuu na kutabasamu....
It's crazy but so sweet.
Misses you Tized.
Mbona kawaida tu.me mdada mzuri huwa namsifia tu
Shosti una tako hatare
Shosti una mguu
Shosti una mtindi
Shosti una fito
Shosti una lips
Shosti una macho.... Kawaida tu yaani