Dada ukitongozwa kubali...

Dada ukitongozwa kubali...

ha ha ha ha baadaye atakuja atafute mtu wa kumpa ujauzito tu
Lazima kaka Kwan hawa wanaokosa Wanaume wa kuwa-oa wanatokeaga Sayari gani ?? Humu humu tuu hahahahh
kuna mmoja nimemfatilia sana aise, mara anichukie, mara aniblock, mara ale pesa zangu kizembe tu, nikawa najipa matumaini huku nikiamini mke namtafuta.....ikawa kila ninavozidi kumzoea nikaona ni mtumiaji zaidi, sio kama anavojichukulia, "you know", zinakua kibao wakati umri unaenda.....

nikaona moyo isiwe shida tulia kwanza man, kuna wengine hautumii nguvu kama yeye......humo ndani full kuweka mpaka vipengere vya GPA na wakati masuala ya kusoma tushamalizana nayo..........

saiz akija kuniongelesha nasikia tu "namimi nitapata tu wa kunioa", namwambiaga endelea kutafuta mama, wanaume wapo kibao

wengine mnaonewa huruma afu nyie wenyewe hamjitambui pumbavu zenu, unataka mwenye gari wakati baba ako kapaki ndala nje ya mlango
Doooh! Kwaiy una muonea huruma Au

I'm on that good kush and alcohol
 
Back
Top Bottom