Mrejesho muhimu mkuuNgooja nimuibukie Prime Minister mkuu.
Ukiona hivyo inabidi kukaa pembeni kuepusha msongamano...baada ya muda 40yrs bado single.Ukiona hivyo ujue kuna kidume mwingine anampa jeuri na kumuweka mjini zaidi yako,usifikili kwamba hakupendi au hakutaki moja kwa moja
Lifanyieni kazi kwa maslai yenu mkuuOmbi lako litafanyiwa kazi.
tatizo ni pale unakuta wewe mwenyewe ushapenda na mwenzio hana hata time na wewe mpaka message za tigo zikiingia kwa simu yako basi unaifungua kwa bashasha kubwa ukifiri ni yeye kakubali ombi lako.Ukiona hivyo inabidi kukaa pembeni kuepusha msongamano...baada ya muda 40yrs bado single.
Jiwekee utaratibu wa kupenda unapopendwa,hiyo haitakusumbuatatizo ni pale unakuta wewe mwenyewe ushapenda na mwenzio hana hata time na wewe mpaka message za tigo zikiingia kwa simu yako basi unaifungua kwa bashasha kubwa ukifiri ni yeye kakubali ombi lako.
Bila shaka yeyote comrade utapata mrejesho.Mrejesho muhimu mkuu
ha ha ha kuwa na mwenza kuna raha yake mkuungoja nianze kujibu messages.🤣🤣🤣🤣🤣🤣
ha ha ha ndio ukubwa wenyewe huo mkuuKuna kuliwa tunda hapa kimasihara
Nimekulove naomba unipe nafasi ya kudumu kwenye moyo wakoHaya
Hapo sasaSema utakubali kwa watu wangapi?Acha nkajibu zile message aiseee
![]()

JamaniHahahahh wanawake bhana
Kuna mmoja hivi kana miaka 23 Anajifanya ana misimamo yuko bize ana soma vitabu vya maisha, Sasa vimemharibu ana act kama mtu mwenye misimamo. Yani anajifanya yuk Serious kishenz, tinted mda wote hana mda na simu yani, Nimempa miaka miwili tuu atakuja na Bango Humu
Bad Enough ni kibonge dah
I'm on that good kush and alcohol

Asante kwa kunisimangaa dah!🤣🤣🤣🤣🤣 neno kibonge limeniTOUCH SANAAA😂Hahahahh wanawake bhana
Kuna mmoja hivi kana miaka 23 Anajifanya ana misimamo yuko bize ana soma vitabu vya maisha, Sasa vimemharibu ana act kama mtu mwenye misimamo. Yani anajifanya yuk Serious kishenz, tinted mda wote hana mda na simu yani, Nimempa miaka miwili tuu atakuja na Bango Humu
Bad Enough ni kibonge dah
I'm on that good kush and alcohol