Upo Sawa 1000%.Katika kitu kimenishinda ni mwanaume anayejisifia 'uhensamu', mwanaume kuwa na sura yako kavu ya kiumeni uzuri wako nitaujua Mimi mwandani wako huko ndani wooiii..!!
Yeah wana akili. Iwe Masasi mjini au vijijini.Nitakuja ila sasa uniambie nilenge wap masasi mjini? Wanajishulisha? Wanaakili?
Hahahah ni kweliWamakua na wamwera si ndio makabila ambayo mwanamke ndio mwenye ukoo?hapo lazima wanawake waje wengi kuopoa wanaume.
YesNa wewe ni miongoni mwa hao mahandsome ?
Hata Masasi wapo intelligent, watafutaji na wenye mafanikio sio tu watafutaji ili mradi, mwisho ni handsome kila idara.Na akitaka mahandsome na watafutaji aende marangu
Iwe inafanya kazi sio kila siku kuishiwa mafuta njianiMwanaume mashine bhana sura ata mbuzi anayo
HahahahahahahIwe inafanya kazi sio kila siku kuishiwa mafuta njiani
Walitola[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwanaume mashine bhana sura ata mbuzi anayo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] itajitaidi isiwe inakata wese njianiIwe inafanya kazi sio kila siku kuishiwa mafuta njiani
Unaweza kuvumilia kuendeshwa na mashine mda mrefuIwe inafanya kazi sio kila siku kuishiwa mafuta njiani